Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Samweli—Yaliyomo

      • Daudi hatajenga hekalu (1-7)

      • Agano pamoja na Daudi kwa ajili ya ufalme (8-17)

      • Sala ya Daudi ya shukrani (18-29)

2 Samweli 7:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba lake mwenyewe la mfalme.”

Marejeo

  • +1Nya 17:1

2 Samweli 7:2

Marejeo

  • +2Sa 12:1; 1Nya 29:29
  • +2Sa 5:11
  • +2Sa 6:17

2 Samweli 7:3

Marejeo

  • +1Fa 8:17; 1Nya 17:2; 22:7

2 Samweli 7:5

Marejeo

  • +1Fa 5:3; 8:17-19; 1Nya 17:4-6; 22:7, 8

2 Samweli 7:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “nikitembea.”

Marejeo

  • +Yos 18:1
  • +Kut 40:18, 34

2 Samweli 7:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana wote wa Israeli.”

2 Samweli 7:8

Marejeo

  • +1Sa 16:11
  • +2Sa 5:2; 1Nya 17:7-10; 28:4; Zb 78:70, 71

2 Samweli 7:9

Marejeo

  • +1Sa 18:14; 2Sa 5:10
  • +2Sa 22:1; Zb 18:37
  • +1Nya 14:2, 17

2 Samweli 7:10

Marejeo

  • +Amu 2:14; Zb 89:20, 22

2 Samweli 7:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukoo wa kifalme.”

Marejeo

  • +Amu 2:16
  • +Kum 25:19
  • +1Fa 2:24; Zb 89:4

2 Samweli 7:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu yako.”

  • *

    Tnn., “yule atakayetoka katika viungo vyako vya ndani.”

Marejeo

  • +1Fa 2:1
  • +Mwa 49:10; 1Fa 8:20; 1Nya 17:11-14; Zb 132:11; Isa 9:7; 11:1; Mt 21:9; 22:42; Lu 1:32, 33; Yoh 7:42; Mdo 2:30

2 Samweli 7:13

Marejeo

  • +1Fa 5:5; 6:12; Zek 6:12, 13
  • +1Fa 1:37; 1Nya 22:10; 28:7; Zb 89:4, 36

2 Samweli 7:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Adamu.”

Marejeo

  • +1Nya 28:6; Mt 3:17; Ebr 1:5
  • +Zb 89:30, 32; Yer 52:3

2 Samweli 7:15

Marejeo

  • +1Sa 15:23, 26

2 Samweli 7:16

Marejeo

  • +Zb 45:6; 89:36; Da 2:44; Ebr 1:8; Ufu 11:15

2 Samweli 7:17

Marejeo

  • +1Nya 17:15

2 Samweli 7:18

Marejeo

  • +1Nya 17:16-22

2 Samweli 7:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “na hii ni sheria.”

2 Samweli 7:20

Marejeo

  • +1Sa 16:7; Zb 17:3

2 Samweli 7:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kulingana na mapenzi yako.”

Marejeo

  • +Zb 25:14

2 Samweli 7:22

Marejeo

  • +Kum 3:24; 1Nya 16:25
  • +Kut 15:11; Zb 83:18
  • +Kum 4:35

2 Samweli 7:23

Marejeo

  • +Kum 4:7; Zb 147:19, 20
  • +Kut 3:8; 19:5; Isa 63:9
  • +Kut 9:16
  • +Kum 10:21

2 Samweli 7:24

Marejeo

  • +Kum 26:18
  • +Kut 15:2

2 Samweli 7:25

Marejeo

  • +1Nya 17:23-27; Zb 89:20, 28

2 Samweli 7:26

Marejeo

  • +1Nya 29:11; Zb 72:19; Mt 6:9; Yoh 12:28
  • +Isa 9:7; Yer 33:22

2 Samweli 7:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukoo wa kifalme.”

  • *

    Tnn., “nimepata moyo wa.”

Marejeo

  • +2Sa 7:11

2 Samweli 7:28

Marejeo

  • +Hes 23:19; Zb 89:35; 132:11; Yoh 17:17

2 Samweli 7:29

Marejeo

  • +Zb 89:20, 36; 132:12
  • +2Sa 22:51; Zb 72:17

Jumla

2 Sam. 7:11Nya 17:1
2 Sam. 7:22Sa 12:1; 1Nya 29:29
2 Sam. 7:22Sa 5:11
2 Sam. 7:22Sa 6:17
2 Sam. 7:31Fa 8:17; 1Nya 17:2; 22:7
2 Sam. 7:51Fa 5:3; 8:17-19; 1Nya 17:4-6; 22:7, 8
2 Sam. 7:6Yos 18:1
2 Sam. 7:6Kut 40:18, 34
2 Sam. 7:81Sa 16:11
2 Sam. 7:82Sa 5:2; 1Nya 17:7-10; 28:4; Zb 78:70, 71
2 Sam. 7:91Sa 18:14; 2Sa 5:10
2 Sam. 7:92Sa 22:1; Zb 18:37
2 Sam. 7:91Nya 14:2, 17
2 Sam. 7:10Amu 2:14; Zb 89:20, 22
2 Sam. 7:11Amu 2:16
2 Sam. 7:11Kum 25:19
2 Sam. 7:111Fa 2:24; Zb 89:4
2 Sam. 7:121Fa 2:1
2 Sam. 7:12Mwa 49:10; 1Fa 8:20; 1Nya 17:11-14; Zb 132:11; Isa 9:7; 11:1; Mt 21:9; 22:42; Lu 1:32, 33; Yoh 7:42; Mdo 2:30
2 Sam. 7:131Fa 5:5; 6:12; Zek 6:12, 13
2 Sam. 7:131Fa 1:37; 1Nya 22:10; 28:7; Zb 89:4, 36
2 Sam. 7:141Nya 28:6; Mt 3:17; Ebr 1:5
2 Sam. 7:14Zb 89:30, 32; Yer 52:3
2 Sam. 7:151Sa 15:23, 26
2 Sam. 7:16Zb 45:6; 89:36; Da 2:44; Ebr 1:8; Ufu 11:15
2 Sam. 7:171Nya 17:15
2 Sam. 7:181Nya 17:16-22
2 Sam. 7:201Sa 16:7; Zb 17:3
2 Sam. 7:21Zb 25:14
2 Sam. 7:22Kum 3:24; 1Nya 16:25
2 Sam. 7:22Kut 15:11; Zb 83:18
2 Sam. 7:22Kum 4:35
2 Sam. 7:23Kum 4:7; Zb 147:19, 20
2 Sam. 7:23Kut 3:8; 19:5; Isa 63:9
2 Sam. 7:23Kut 9:16
2 Sam. 7:23Kum 10:21
2 Sam. 7:24Kum 26:18
2 Sam. 7:24Kut 15:2
2 Sam. 7:251Nya 17:23-27; Zb 89:20, 28
2 Sam. 7:261Nya 29:11; Zb 72:19; Mt 6:9; Yoh 12:28
2 Sam. 7:26Isa 9:7; Yer 33:22
2 Sam. 7:272Sa 7:11
2 Sam. 7:28Hes 23:19; Zb 89:35; 132:11; Yoh 17:17
2 Sam. 7:29Zb 89:20, 36; 132:12
2 Sam. 7:292Sa 22:51; Zb 72:17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
2 Samweli 7:1-29

Kitabu cha Pili cha Samweli

7 Mfalme alipoanza kuishi katika nyumba yake mwenyewe*+ na baada ya Yehova kumpumzisha kutokana na maadui wake wote waliomzunguka, 2 mfalme alimwambia hivi nabii Nathani:+ “Mimi hapa ninaishi katika nyumba ya mierezi+ huku Sanduku la Mungu wa kweli likikaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+ 3 Nathani akamwambia mfalme: “Nenda ufanye jambo lolote lililo moyoni mwako, kwa sababu Yehova yuko pamoja nawe.”+

4 Usiku huohuo, neno hili la Yehova likamjia Nathani: 5 “Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Yehova anasema hivi: “Je, utanijengea nyumba nikae ndani yake?+ 6 Kwa maana sijakaa ndani ya nyumba tangu siku nilipowatoa watu wa Israeli huko Misri mpaka leo,+ bali nimekuwa nikihama* huku na kule katika hema na katika hema la ibada.+ 7 Wakati wote nilipotembea na Waisraeli wote,* je, niliwahi wakati wowote kumuuliza kiongozi yeyote wa kabila la Israeli niliyemweka awachunge watu wangu Waisraeli, ‘Kwa nini hukunijengea nyumba ya mierezi?’”’ 8 Sasa mwambie hivi mtumishi wangu Daudi: ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Nilikutoa malishoni, ili usiendelee kuchunga kondoo,+ uwe kiongozi wa watu wangu Waisraeli.+ 9 Nami nitakuwa pamoja nawe popote utakapoenda,+ nami nitawaangamiza maadui wako wote kutoka mbele yako;+ nami nitafanya jina lako liwe maarufu+ kama jina la watu maarufu duniani. 10 Nitachagua mahali kwa ajili ya watu wangu Waisraeli na kuwaweka humo, nao wataishi humo na hawatasumbuliwa tena; na watu waovu hawatawakandamiza tena kama walivyofanya zamani,+ 11 tangu siku nilipowaweka waamuzi+ juu ya watu wangu Waisraeli. Nami nitakupumzisha kutokana na maadui wako wote.+

“‘“Pia, Yehova amekuambia kwamba Yehova atakujengea nyumba.*+ 12 Siku zako zitakapokwisha+ nawe ufe na kuzikwa pamoja na mababu zako, ndipo nitakapomwinua mzao wako* baada yako, mwana wako mwenyewe,* nami nitauimarisha kabisa ufalme wake.+ 13 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ nami nitakiimarisha kabisa kiti cha ufalme wake milele.+ 14 Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu.+ Atakapokosea, nitamkaripia kwa fimbo ya wanadamu na kwa viboko vya wana wa binadamu.*+ 15 Upendo wangu mshikamanifu hautaondolewa kwake kama nilivyouondoa kwa Sauli,+ niliyemwondoa kutoka mbele yako. 16 Nyumba yako na ufalme wako utakuwa salama milele mbele yako; kiti chako cha ufalme kitaimarishwa kabisa milele.”’”+

17 Nathani akamwambia Daudi maneno hayo yote na maono hayo yote.+

18 Ndipo Mfalme Daudi akaingia na kuketi mbele za Yehova na kusema: “Mimi ni nani, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova? Na nyumba yangu ni nini hivi kwamba umenileta mpaka hapa nilipofika?+ 19 Na kana kwamba hilo halitoshi, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, unasema pia kwamba nyumba yangu mimi mtumishi wako itadumu kwa muda mrefu; na haya ni maagizo* kwa wanadamu wote, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. 20 Mimi mtumishi wako Daudi nitakwambia nini zaidi wakati unanijua vizuri sana,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova? 21 Kwa ajili ya neno lako na kupatana na moyo wako* umetenda mambo haya yote makuu na kunifunulia mimi mtumishi wako.+ 22 Ndiyo sababu wewe kwa kweli ni mkuu,+ Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Hakuna aliye kama wewe,+ na hakuna Mungu ila wewe;+ mambo yote tuliyosikia kwa masikio yetu yanathibitisha jambo hilo. 23 Na kuna taifa gani lingine duniani lililo kama watu wako Waisraeli?+ Wewe Mungu ulienda na kuwakomboa wakiwa watu wako,+ ukajijengea jina+ kwa kufanya mambo makuu na yenye kuogopesha kwa ajili yao.+ Uliyafukuza mataifa na miungu yao kwa ajili ya watu wako, ambao uliwakomboa kutoka Misri kwa ajili yako mwenyewe. 24 Uliwaimarisha watu wako Waisraeli ili wawe watu wako milele;+ na wewe, Ee Yehova, umekuwa Mungu wao.+

25 “Sasa, Ee Yehova Mungu, timiza ahadi uliyotoa kunihusu mimi mtumishi wako na nyumba yangu milele, na ufanye kama ulivyoahidi.+ 26 Jina lako na likwezwe milele,+ ili watu waseme, ‘Yehova wa majeshi ni Mungu wa Israeli,’ na nyumba yangu mimi mtumishi wako Daudi na iimarishwe kabisa mbele zako.+ 27 Kwa maana wewe, Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, umenifunulia mimi mtumishi wako ukisema, ‘Nitakujengea nyumba.’*+ Ndiyo sababu mimi mtumishi wako nina ujasiri wa* kutoa sala hii kwako. 28 Na sasa, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, wewe ndiye Mungu wa kweli, na maneno yako ni kweli,+ nawe umeniahidi mimi mtumishi wako mambo hayo mema. 29 Basi na ufurahie kuibariki nyumba yangu mimi mtumishi wako, na idumu milele mbele zako;+ kwa sababu wewe, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, umeahidi, na kwa baraka yako, nyumba yangu mimi mtumishi wako na ibarikiwe milele.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki