Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 8
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hosea—Yaliyomo

      • Matokeo ya kuabudu sanamu (1-14)

        • Kupanda upepo, kuvuna kimbunga (7)

        • Waisraeli wamemsahau Muumba wao (14)

Hosea 8:1

Marejeo

  • +Ho. 5:8
  • +Kum 28:49, 50
  • +Ho. 6:7
  • +2Fa 17:15

Hosea 8:2

Marejeo

  • +Isa 48:1; Mik 3:11

Hosea 8:3

Marejeo

  • +Zb 50:17

Hosea 8:4

Marejeo

  • +1Fa 12:26, 28; Ho. 13:2
  • +1Fa 13:34

Hosea 8:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kushindwa kuwa safi?”

Marejeo

  • +Ho. 10:5, 6
  • +Kum 32:21, 22; 2Fa 17:18

Hosea 8:7

Marejeo

  • +Met 22:8
  • +Isa 17:11
  • +Kum 28:15, 33

Hosea 8:8

Marejeo

  • +2Fa 15:29; 18:11; Yer 50:17
  • +Law 26:33

Hosea 8:9

Marejeo

  • +2Fa 15:19; Eze 23:4, 5; Ho. 5:13; 12:1
  • +Eze 23:9

Hosea 8:10

Marejeo

  • +2Fa 14:26; 1Nya 5:26

Hosea 8:11

Marejeo

  • +Isa 10:10, 11
  • +Ho. 12:11

Hosea 8:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mafundisho.”

Marejeo

  • +2Fa 17:15; Ne 9:26

Hosea 8:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Watarudi.”

Marejeo

  • +Isa 1:11; Amo 5:22
  • +Ho. 9:9; Amo 8:7
  • +Ho. 7:16; 9:3

Hosea 8:14

Marejeo

  • +Kum 32:18
  • +1Fa 12:25, 31
  • +2Nya 26:9, 10
  • +2Fa 18:13; 2Nya 36:17, 19; Yer 17:27; 34:7

Jumla

Hos. 8:1Ho. 5:8
Hos. 8:1Kum 28:49, 50
Hos. 8:1Ho. 6:7
Hos. 8:12Fa 17:15
Hos. 8:2Isa 48:1; Mik 3:11
Hos. 8:3Zb 50:17
Hos. 8:41Fa 12:26, 28; Ho. 13:2
Hos. 8:41Fa 13:34
Hos. 8:5Ho. 10:5, 6
Hos. 8:5Kum 32:21, 22; 2Fa 17:18
Hos. 8:7Met 22:8
Hos. 8:7Isa 17:11
Hos. 8:7Kum 28:15, 33
Hos. 8:82Fa 15:29; 18:11; Yer 50:17
Hos. 8:8Law 26:33
Hos. 8:92Fa 15:19; Eze 23:4, 5; Ho. 5:13; 12:1
Hos. 8:9Eze 23:9
Hos. 8:102Fa 14:26; 1Nya 5:26
Hos. 8:11Isa 10:10, 11
Hos. 8:11Ho. 12:11
Hos. 8:122Fa 17:15; Ne 9:26
Hos. 8:13Isa 1:11; Amo 5:22
Hos. 8:13Ho. 9:9; Amo 8:7
Hos. 8:13Ho. 7:16; 9:3
Hos. 8:14Kum 32:18
Hos. 8:141Fa 12:25, 31
Hos. 8:142Nya 26:9, 10
Hos. 8:142Fa 18:13; 2Nya 36:17, 19; Yer 17:27; 34:7
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hosea 8:1-14

Hosea

8 “Pigeni pembe!+

Adui anakuja kama tai kuivamia nyumba ya Yehova,+

Kwa sababu wamelivunja agano langu+ na kuasi sheria yangu.+

 2 Wananililia wakisema, ‘Mungu wetu, sisi, Waisraeli, tunakujua!’+

 3 Waisraeli wamekataa mema.+

Adui na awafuatie.

 4 Wamejichagulia wafalme, lakini bila kibali changu.

Wamejichagulia wakuu, lakini sikuwatambua.

Wametengeneza sanamu kwa fedha yao na dhahabu yao,+

Wakajiletea maangamizi.+

 5 Ndama wenu amekataliwa, enyi watu wa Samaria.+

Hasira yangu inawaka dhidi yao.+

Wataendelea mpaka lini kushindwa kuwa bila hatia?*

 6 Kwa maana ndama huyu ametoka Israeli.

Fundi ndiye aliyemtengeneza, si Mungu;

Ndama wa Samaria atavunjwa na kubaki vipandevipande.

 7 Kwa maana wanapanda upepo,

Nao watavuna kimbunga.+

Hakuna bua linalozaa nafaka iliyokomaa;+

Bua lolote linalochipuka halitokezi unga.

Unga wowote wanaopata, utamezwa na wageni.+

 8 Waisraeli watamezwa.+

Sasa watakuwa miongoni mwa mataifa,+

Kama chombo ambacho hakitakikani.

 9 Kwa maana wamepanda kwenda Ashuru,+ kama punda mwitu aliye peke yake.

Waefraimu wamekodi wapenzi.+

10 Ingawa wanawakodi kutoka miongoni mwa mataifa,

Sasa mimi nitawazingira;

Wataanza kuteseka+ kwa sababu ya mzigo waliotwikwa na mfalme na wakuu.

11 Kwa maana Waefraimu wamezidisha madhabahu ili watende dhambi.+

Zikawa madhabahu walizotumia kutenda dhambi.+

12 Niliwaandikia mambo mengi ya sheria* yangu,

Lakini waliyaona kuwa mambo ya ajabu.+

13 Wananitolea zawadi za dhabihu, nao wanakula nyama,

Lakini mimi Yehova sipendezwi nazo.+

Sasa nitakumbuka kosa lao na kuwaadhibu kwa sababu ya dhambi zao.+

Wamegeuka na kurudi* Misri.+

14 Waisraeli wamemsahau Muumba wao+ na kujenga mahekalu,+

Na watu wa Yuda wamezidisha majiji yenye ngome.+

Lakini nitashusha moto kwenye majiji yao,

Nao utateketeza minara iliyo katika kila jiji.”+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki