Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hosea—Yaliyomo

      • Mungu awakataa Waefraimu kwa sababu ya dhambi zao (1-17)

        • Wajiweka wakfu kwa mungu anayechukiza (10)

Hosea 9:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “umalaya.”

Marejeo

  • +Ho. 10:5
  • +Eze 23:4, 5; Ho. 4:12
  • +Ho. 2:12; Mik 1:7

Hosea 9:2

Marejeo

  • +Ho. 2:8, 9; Amo 5:11

Hosea 9:3

Marejeo

  • +Law 20:22; Kum 28:63, 64; Yos 23:15, 16; 1Fa 9:6, 7
  • +2Fa 17:6

Hosea 9:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ni wa nafsi yao wenyewe.”

Marejeo

  • +Hes 15:5; 28:14; Yoe 1:13
  • +Isa 1:11

Hosea 9:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “karamu yenu iliyoamriwa.”

Hosea 9:6

Marejeo

  • +Ho. 7:13
  • +Ho. 7:16; 8:13
  • +Yer 2:14, 16

Hosea 9:7

Marejeo

  • +Isa 10:3

Hosea 9:8

Marejeo

  • +Isa 21:6, 8; Yer 6:17; Eze 33:7
  • +1Fa 17:1; 2Fa 2:14
  • +1Fa 18:19

Hosea 9:9

Marejeo

  • +Amu 19:22; 20:4-6; Ho. 10:9
  • +Ho. 8:13

Hosea 9:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mungu wa aibu.”

Marejeo

  • +Yer 2:2
  • +Hes 25:1-3; Kum 4:3; Zb 106:28
  • +1Fa 16:31; Yer 11:13

Hosea 9:11

Marejeo

  • +Kum 28:15, 18

Hosea 9:12

Marejeo

  • +Kum 28:32; 32:25
  • +Kum 31:17; 2Fa 17:18

Hosea 9:13

Marejeo

  • +Eze 28:12

Hosea 9:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yaliyonyauka.”

Hosea 9:15

Marejeo

  • +Ho. 4:15; 12:11; Amo 5:5
  • +Law 26:27, 33; 2Fa 17:18; Amo 5:27
  • +Kum 29:19, 20

Hosea 9:16

Marejeo

  • +Isa 7:8

Hosea 9:17

Marejeo

  • +2Fa 17:14, 15; Zek 1:4
  • +Kum 28:64; Amo 9:9

Jumla

Hos. 9:1Ho. 10:5
Hos. 9:1Eze 23:4, 5; Ho. 4:12
Hos. 9:1Ho. 2:12; Mik 1:7
Hos. 9:2Ho. 2:8, 9; Amo 5:11
Hos. 9:3Law 20:22; Kum 28:63, 64; Yos 23:15, 16; 1Fa 9:6, 7
Hos. 9:32Fa 17:6
Hos. 9:4Hes 15:5; 28:14; Yoe 1:13
Hos. 9:4Isa 1:11
Hos. 9:6Ho. 7:13
Hos. 9:6Ho. 7:16; 8:13
Hos. 9:6Yer 2:14, 16
Hos. 9:7Isa 10:3
Hos. 9:8Isa 21:6, 8; Yer 6:17; Eze 33:7
Hos. 9:81Fa 17:1; 2Fa 2:14
Hos. 9:81Fa 18:19
Hos. 9:9Amu 19:22; 20:4-6; Ho. 10:9
Hos. 9:9Ho. 8:13
Hos. 9:10Yer 2:2
Hos. 9:10Hes 25:1-3; Kum 4:3; Zb 106:28
Hos. 9:101Fa 16:31; Yer 11:13
Hos. 9:11Kum 28:15, 18
Hos. 9:12Kum 28:32; 32:25
Hos. 9:12Kum 31:17; 2Fa 17:18
Hos. 9:13Eze 28:12
Hos. 9:15Ho. 4:15; 12:11; Amo 5:5
Hos. 9:15Law 26:27, 33; 2Fa 17:18; Amo 5:27
Hos. 9:15Kum 29:19, 20
Hos. 9:16Isa 7:8
Hos. 9:172Fa 17:14, 15; Zek 1:4
Hos. 9:17Kum 28:64; Amo 9:9
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hosea 9:1-17

Hosea

9 “Msishangilie, enyi Waisraeli,+

Msishangilie kama mataifa.

Kwa maana kwa ukahaba* wenu mmetangatanga na kumwacha Mungu wenu.+

Mmependa malipo ya kahaba katika kila kiwanja cha kupuria nafaka.+

 2 Lakini uwanja wa kupuria na shinikizo la divai havitawalisha,

Na divai mpya itawaishia.+

 3 Hawataendelea kukaa katika nchi ya Yehova;+

Badala yake, Waefraimu watarudi Misri,

Nao watakula vitu visivyo safi kule Ashuru.+

 4 Hawatammiminia tena Yehova matoleo ya divai;+

Dhabihu zao hazitampendeza.+

Dhabihu hizo ni kama mkate wa maombolezo;

Wote wanaoula watajichafua.

Kwa maana mkate wao ni wao peke yao;*

Hautaletwa katika nyumba ya Yehova.

 5 Mtafanya nini katika siku ya mkutano,*

Katika siku ya sherehe ya Yehova?

 6 Kwa maana tazama! watalazimika kukimbia kwa sababu ya maangamizi.+

Misri itawakusanya pamoja,+ na Memfisi itawazika.+

Upupu utamiliki vitu vyao vya fedha vyenye thamani,

Na vichaka vya miiba vitakuwa katika mahema yao.

 7 Siku za kuwajibika zitakuja,+

Siku za kulipiza kisasi zitakuja,

Na Waisraeli watajua jambo hilo.

Nabii wao atakuwa mjinga, na mtu anayeongozwa na roho atashikwa na wazimu;

Kwa sababu makosa yenu ni mengi, uhasama dhidi yenu ni mkubwa.”

 8 Mlinzi+ wa Efraimu alikuwa na Mungu wangu.+

Lakini sasa njia zote za manabii wake+ ni kama mitego ya mwindaji wa ndege;

Kuna uhasama katika nyumba ya Mungu wake.

 9 Wamezama ndani sana katika maangamizi, kama ilivyokuwa kule Gibea.+

Atakumbuka kosa lao na kuwaadhibu kwa sababu ya dhambi zao.+

10 “Niliwapata Waisraeli kama zabibu nyikani.+

Kama matunda ya kwanza ya tini niliwaona mababu zenu.

Lakini walienda kwa Baali wa Peori;+

Walijiweka wakfu kwa kile kitu cha aibu,*+

Wakawa chukizo kama kitu walichokipenda.

11 Utukufu wa Waefraimu unaruka mbali kama ndege;

Hakuna kuzaa, hakuna mimba, na hakuna kushika mimba.+

12 Hata wakiwalea watoto,

Nitawaangamiza asibaki mtu yeyote;+

Naam, ole wao nitakapowaacha!+

13 Waefraimu, waliopandwa malishoni, walikuwa kama Tiro kwangu;+

Sasa lazima Waefraimu wawalete wana wao ili wachinjwe.”

14 Ee Yehova, wape unachopaswa kuwapa;

Tumbo la uzazi linaloharibu mimba na matiti yaliyokauka.*

15 “Walifanya uovu wao wote kule Gilgali,+ kwa maana nilianza kuwachukia huko.

Nitawafukuza katika nyumba yangu kwa sababu ya matendo yao maovu.+

Sitawapenda tena;+

Wakuu wao wote ni wakaidi.

16 Waefraimu wataangushwa chini.+

Mzizi wao utakauka, nao hawatazaa tunda lolote.

Hata wakizaa, nitawaua wazao wao wanaowapenda.”

17 Mungu wangu atawakataa,

Kwa maana hawajamsikiliza,+

Nao watakuwa wakimbizi miongoni mwa mataifa.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki