Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 13
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hosea—Yaliyomo

      • Waefraimu waabudu sanamu na kumsahau Yehova (1-16)

        • “Ewe Kifo, yako wapi maumivu yako makali?” (14)

Hosea 13:1

Marejeo

  • +Yos 17:17
  • +2Fa 17:16; Ho. 11:2

Hosea 13:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “za kuyeyushwa.”

Marejeo

  • +Ho. 2:8
  • +1Fa 12:26, 28; 19:18

Hosea 13:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tangu.”

Marejeo

  • +Kut 20:2; Ho. 12:9
  • +Isa 43:11; 45:21, 22

Hosea 13:5

Marejeo

  • +Kum 2:7; 32:9, 10

Hosea 13:6

Marejeo

  • +Ne 9:25
  • +Kum 6:10-12; 8:12-14; 32:15, 18; Isa 17:10

Hosea 13:7

Marejeo

  • +Ho. 5:14

Hosea 13:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “chumba cha moyo wao.”

Hosea 13:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “waamuzi.”

Marejeo

  • +1Sa 8:19, 20
  • +1Sa 8:4, 5

Hosea 13:11

Marejeo

  • +1Sa 8:7; 12:13
  • +1Sa 12:25; 2Fa 17:4; Yer 52:11

Hosea 13:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “limehifadhiwa.”

Hosea 13:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Sheoli.” Angalia Kamusi.

  • *

    Au “iko wapi michomo yako?”

Marejeo

  • +Isa 25:8; 26:19
  • +1Ko 15:55
  • +Ufu 20:13, 14

Hosea 13:15

Marejeo

  • +2Fa 17:20

Hosea 13:16

Marejeo

  • +2Fa 17:18; Amo 3:9, 10
  • +Eze 20:21
  • +Isa 7:8

Jumla

Hos. 13:1Yos 17:17
Hos. 13:12Fa 17:16; Ho. 11:2
Hos. 13:2Ho. 2:8
Hos. 13:21Fa 12:26, 28; 19:18
Hos. 13:4Kut 20:2; Ho. 12:9
Hos. 13:4Isa 43:11; 45:21, 22
Hos. 13:5Kum 2:7; 32:9, 10
Hos. 13:6Ne 9:25
Hos. 13:6Kum 6:10-12; 8:12-14; 32:15, 18; Isa 17:10
Hos. 13:7Ho. 5:14
Hos. 13:101Sa 8:19, 20
Hos. 13:101Sa 8:4, 5
Hos. 13:111Sa 8:7; 12:13
Hos. 13:111Sa 12:25; 2Fa 17:4; Yer 52:11
Hos. 13:14Isa 25:8; 26:19
Hos. 13:141Ko 15:55
Hos. 13:14Ufu 20:13, 14
Hos. 13:152Fa 17:20
Hos. 13:162Fa 17:18; Amo 3:9, 10
Hos. 13:16Eze 20:21
Hos. 13:16Isa 7:8
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hosea 13:1-16

Hosea

13 “Waefraimu walipoongea, watu walitetemeka;

Walikuwa maarufu miongoni mwa Waisraeli.+

Lakini wakawa na hatia kuhusiana na Baali,+ nao wakafa.

 2 Sasa wanazidisha dhambi yao

Na kutengeneza sanamu za madini* kwa fedha yao;+

Wanatengeneza sanamu kwa ustadi, hizo zote ni kazi za mafundi.

Wanasema hivi mbele ya sanamu hizo: ‘Watu wanaotoa dhabihu na wabusu ndama hawa.’+

 3 Kwa hiyo watakuwa kama ukungu wa asubuhi,

Kama umande unaotoweka mapema,

Kama makapi yanayopeperushwa na dhoruba kutoka kwenye uwanja wa kupuria,

Na kama moshi unaotoka katika bomba la moshi paani.

 4 Lakini mimi ni Yehova Mungu wenu kuanzia* mlipokuwa nchini Misri;+

Hamkumjua Mungu mwingine yeyote isipokuwa mimi,

Na hakuna mwokozi mwingine yeyote ila mimi.+

 5 Niliwajua mlipokuwa nyikani,+ katika nchi yenye ukame.

 6 Walitosheka na malisho yao,+

Walitosheka moyo wao ukawa na kiburi.

Na kwa hiyo wakanisahau.+

 7 Nitakuwa kama mwanasimba kwao,+

Kama chui anayevizia njiani.

 8 Nitawarukia kama dubu aliyepoteza watoto wake,

Nami nitavirarua vifua vyao.*

Na huko nitawanyafua kama simba;

Mnyama wa mwituni atawararua vipandevipande.

 9 Atawaangamiza, enyi Waisraeli,

Kwa sababu mmenigeuka, mmemgeuka msaidizi wenu.

10 Yuko wapi sasa mfalme wenu ili awaokoe katika majiji yenu yote,+

Na watawala* wenu ambao mlisema kuwahusu,

‘Tupe mfalme na wakuu’?+

11 Kwa hasira nikawapa mfalme,+

Nami nitamwondoa kwa ghadhabu.+

12 Kosa la Waefraimu limefungwa kabisa;*

Dhambi yao imewekwa akiba.

13 Watashikwa na uchungu wa kuzaa.

Lakini wao ni mtoto asiye na hekima;

Hatoki tumboni wakati wa kuzaliwa ufikapo.

14 Nitawakomboa kutoka katika nguvu za Kaburi;*

Nitawaokoa kutoka katika kifo.+

Ewe Kifo, yako wapi maumivu yako makali?*+

Ewe Kaburi, yako wapi maangamizi yako?+

Macho yangu yatazuiwa yasione huruma.

15 Hata wakisitawi kati ya matete,

Upepo wa mashariki utakuja, upepo wa Yehova,

Utakuja kutoka jangwani, kukausha kisima chao na chemchemi yao.

Huyo atapora hazina ya vitu vyao vyote vyenye thamani.+

16 Watu wa Samaria watahesabiwa kuwa na hatia,+ kwa sababu wamemwasi Mungu wao.+

Watauawa kwa upanga,+

Watoto wao watapondwapondwa,

Na wanawake wao wenye mimba watapasuliwa tumbo.”

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki