Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 5
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho—Yaliyomo

      • Kuvaa makao ya kimbingu (1-10)

      • Huduma ya upatanisho (11-21)

        • Kiumbe kipya (17)

        • Mabalozi wa Kristo (20)

2 Wakorintho 5:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “likivunjwa.”

Marejeo

  • +2Pe 1:13, 14
  • +1Ko 15:50; Flp 3:20, 21

2 Wakorintho 5:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “makao haya.”

  • *

    Au “kuvaa makao yetu.”

  • *

    Au “makao yetu ya mbinguni.”

Marejeo

  • +Ro 6:5; 8:23; 1Ko 15:48, 49

2 Wakorintho 5:4

Marejeo

  • +1Ko 15:43, 44; Flp 1:21
  • +1Pe 1:3, 4

2 Wakorintho 5:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “malipo ya awali; uthibitisho (dhamana) wa kile kitakachokuja.”

Marejeo

  • +Efe 2:10
  • +Ro 8:23; Efe 1:13, 14

2 Wakorintho 5:6

Marejeo

  • +Yoh 14:3

2 Wakorintho 5:8

Marejeo

  • +Flp 1:23

2 Wakorintho 5:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tufunuliwe.”

  • *

    Au “maovu.”

Marejeo

  • +Ufu 22:12

2 Wakorintho 5:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “tumefunuliwa.”

  • *

    Au “tumefunuliwa.”

2 Wakorintho 5:12

Marejeo

  • +2Ko 10:10

2 Wakorintho 5:13

Marejeo

  • +2Ko 11:1, 16

2 Wakorintho 5:14

Marejeo

  • +Isa 53:10; Mt 20:28; 1Ti 2:5, 6

2 Wakorintho 5:15

Marejeo

  • +Ro 14:7, 8

2 Wakorintho 5:16

Marejeo

  • +Mt 12:50
  • +Yoh 20:17

2 Wakorintho 5:17

Marejeo

  • +Gal 6:15

2 Wakorintho 5:18

Marejeo

  • +Ro 5:10; Efe 2:15, 16; Kol 1:19, 20
  • +Mdo 20:24

2 Wakorintho 5:19

Marejeo

  • +Ro 5:6; 1Yo 2:1, 2
  • +Ro 4:25; 5:18
  • +Mt 28:19, 20; Mdo 13:38, 39

2 Wakorintho 5:20

Marejeo

  • +Efe 6:19, 20
  • +Flp 3:20

2 Wakorintho 5:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “dhabihu ya dhambi.”

Marejeo

  • +Ebr 4:15; 7:26
  • +Ro 1:16, 17

Jumla

2 Kor. 5:12Pe 1:13, 14
2 Kor. 5:11Ko 15:50; Flp 3:20, 21
2 Kor. 5:2Ro 6:5; 8:23; 1Ko 15:48, 49
2 Kor. 5:41Ko 15:43, 44; Flp 1:21
2 Kor. 5:41Pe 1:3, 4
2 Kor. 5:5Efe 2:10
2 Kor. 5:5Ro 8:23; Efe 1:13, 14
2 Kor. 5:6Yoh 14:3
2 Kor. 5:8Flp 1:23
2 Kor. 5:10Ufu 22:12
2 Kor. 5:122Ko 10:10
2 Kor. 5:132Ko 11:1, 16
2 Kor. 5:14Isa 53:10; Mt 20:28; 1Ti 2:5, 6
2 Kor. 5:15Ro 14:7, 8
2 Kor. 5:16Mt 12:50
2 Kor. 5:16Yoh 20:17
2 Kor. 5:17Gal 6:15
2 Kor. 5:18Ro 5:10; Efe 2:15, 16; Kol 1:19, 20
2 Kor. 5:18Mdo 20:24
2 Kor. 5:19Ro 5:6; 1Yo 2:1, 2
2 Kor. 5:19Ro 4:25; 5:18
2 Kor. 5:19Mt 28:19, 20; Mdo 13:38, 39
2 Kor. 5:20Efe 6:19, 20
2 Kor. 5:20Flp 3:20
2 Kor. 5:21Ebr 4:15; 7:26
2 Kor. 5:21Ro 1:16, 17
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
2 Wakorintho 5:1-21

Barua ya Pili kwa Wakorintho

5 Kwa maana tunajua kwamba nyumba yetu ya kidunia, hema hili, likiharibiwa,*+ tutapata jengo kutoka kwa Mungu, nyumba ya milele mbinguni, ambayo haijajengwa kwa mikono.+ 2 Kwa maana tunaugua kwelikweli katika nyumba hii,* tukitamani sana kuvaa ile yetu* kutoka mbinguni,*+ 3 ili kwamba tutakapoivaa, hatutapatikana tukiwa uchi. 4 Kwa kweli, sisi tulio katika hema hili tunaugua, tukilemewa kwa sababu hatutaki kuuvua huu, bali tunataka kuuvaa ule mwingine,+ ili uhai ukimeze kile kinachoweza kufa.+ 5 Basi yule aliyetutayarisha kwa ajili ya jambo hili ni Mungu,+ ambaye alitupatia roho kama rehani ya kile kitakachokuja.*+

6 Basi sikuzote sisi tuna uhodari mwingi na tunajua kwamba tukiwa na makao yetu katika mwili, hatupo mahali alipo Bwana,+ 7 kwa maana tunatembea kwa imani, si kwa kuona. 8 Lakini sisi tuna uhodari mwingi na tungependelea tusiwepo katika mwili bali tuyafanye makao yetu pamoja na Bwana.+ 9 Basi iwe ni nyumbani pamoja naye au tusipokuwa pamoja naye, lengo letu ni kukubalika kwake. 10 Kwa maana lazima sisi sote tusimame* mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mmoja apate malipo kulingana na mambo aliyotenda akiwa katika mwili, yawe mema au mabaya.*+

11 Kwa hiyo, kwa kuwa tunajua kumwogopa Bwana, tunaendelea kuwashawishi watu, lakini tunafahamika vizuri* kwa Mungu. Hata hivyo, ninatumaini kwamba tunafahamika vizuri* pia kwa dhamiri zenu. 12 Hatujipendekezi wenyewe tena kwenu, bali tunawapa kichocheo cha kujisifu kuhusiana nasi, ili muweze kujibu wale wanaojisifu kuhusu sura ya nje+ bali si kuhusu yaliyo moyoni. 13 Kwa maana ikiwa tulikuwa tumerukwa na akili,+ ilikuwa ni kwa ajili ya Mungu; ikiwa tuna akili timamu, ni kwa ajili yenu. 14 Kwa maana upendo alio nao Kristo hutuchochea, kwa sababu tumefikia uamuzi huu, kwamba mtu mmoja alikufa kwa ajili ya wote;+ hivyo basi, wote walikuwa wamekufa. 15 Naye alikufa kwa ajili ya wote ili wale wanaoishi wasiishi tena kwa ajili yao wenyewe,+ bali kwa ajili ya yule aliyekufa kwa ajili yao na kufufuliwa.

16 Basi tangu sasa hatumjui mtu yeyote kulingana na maoni ya kimwili.+ Hata kama wakati fulani tulimjua Kristo kulingana na mwili, kwa hakika hatumjui tena kwa njia hiyo.+ 17 Kwa hiyo, ikiwa yeyote yuko katika muungano na Kristo, yeye ni kiumbe kipya;+ mambo ya zamani yalipitilia mbali; tazama! mambo mapya yamekuja kuwapo. 18 Lakini mambo yote yametoka kwa Mungu, aliyetupatanisha sisi kwake mwenyewe kupitia Kristo+ na kutupatia huduma ya upatanisho,+ 19 yaani, kwamba Mungu kupitia Kristo alikuwa akiupatanisha ulimwengu kwake mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa yao,+ naye alitukabidhi ujumbe wa upatanisho.+

20 Kwa hiyo sisi ni mabalozi+ walio badala ya Kristo,+ kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi. Kama walio badala ya Kristo, tunaomba: “Mpatanishwe na Mungu.” 21 Yule ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi* kwa ajili yetu, ili kupitia yeye tuwe uadilifu wa Mungu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki