Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waebrania 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Waebrania—Yaliyomo

      • Mungu azungumza kupitia Mwana wake (1-4)

      • Mwana ni mkuu kuliko malaika (5-14)

Waebrania 1:1

Marejeo

  • +Kut 24:3; Hes 12:8; Yer 7:25

Waebrania 1:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi, “Mfumo wa mambo.”

Marejeo

  • +Mt 17:5
  • +Zb 2:8
  • +Yoh 1:3; 1Ko 8:6; Kol 1:16

Waebrania 1:3

Marejeo

  • +Yoh 1:14; 17:5
  • +Kol 1:15
  • +Ebr 9:26
  • +Zb 110:1; Mdo 2:32, 33; 7:55

Waebrania 1:4

Marejeo

  • +Efe 1:20, 21; 1Pe 3:22
  • +Mdo 4:12; Flp 2:9, 10

Waebrania 1:5

Marejeo

  • +Zb 2:7
  • +2Sa 7:14; Mk 1:11; Lu 9:35; 2Pe 1:17

Waebrania 1:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wamwinamie.”

Marejeo

  • +Yoh 1:14; Ro 8:29; Kol 1:15

Waebrania 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watumishi wake wa watu wote.”

Marejeo

  • +Zb 91:11; Lu 22:43
  • +Zb 104:4

Waebrania 1:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “haki.”

Marejeo

  • +Mt 28:18; Ufu 3:21

Waebrania 1:9

Marejeo

  • +Isa 61:1; Lu 3:21, 22; 4:18
  • +Zb 45:6, 7

Waebrania 1:12

Marejeo

  • +Zb 102:25-27

Waebrania 1:13

Marejeo

  • +Zb 110:1; Mt 22:44

Waebrania 1:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “utumishi wa watu wote.”

Marejeo

  • +Zb 34:7; 91:11; Mdo 5:18, 19

Jumla

Ebr. 1:1Kut 24:3; Hes 12:8; Yer 7:25
Ebr. 1:2Mt 17:5
Ebr. 1:2Zb 2:8
Ebr. 1:2Yoh 1:3; 1Ko 8:6; Kol 1:16
Ebr. 1:3Yoh 1:14; 17:5
Ebr. 1:3Kol 1:15
Ebr. 1:3Ebr 9:26
Ebr. 1:3Zb 110:1; Mdo 2:32, 33; 7:55
Ebr. 1:4Efe 1:20, 21; 1Pe 3:22
Ebr. 1:4Mdo 4:12; Flp 2:9, 10
Ebr. 1:5Zb 2:7
Ebr. 1:52Sa 7:14; Mk 1:11; Lu 9:35; 2Pe 1:17
Ebr. 1:6Yoh 1:14; Ro 8:29; Kol 1:15
Ebr. 1:7Zb 91:11; Lu 22:43
Ebr. 1:7Zb 104:4
Ebr. 1:8Mt 28:18; Ufu 3:21
Ebr. 1:9Isa 61:1; Lu 3:21, 22; 4:18
Ebr. 1:9Zb 45:6, 7
Ebr. 1:12Zb 102:25-27
Ebr. 1:13Zb 110:1; Mt 22:44
Ebr. 1:14Zb 34:7; 91:11; Mdo 5:18, 19
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Waebrania 1:1-14

Kwa Waebrania

1 Zamani za kale, Mungu alizungumza na mababu zetu kupitia manabii katika pindi nyingi na kwa njia nyingi.+ 2 Lakini sasa mwishoni mwa siku hizi amezungumza nasi kupitia Mwana,+ aliyemweka rasmi kuwa mrithi wa vitu vyote,+ na kupitia kwake aliifanya mifumo ya mambo.*+ 3 Yeye ndiye mng’ao wa utukufu wa Mungu+ na mfano kamili wa utu wake,+ naye hutegemeza vitu vyote kwa neno la nguvu zake. Na baada ya kuzitakasa dhambi zetu,+ aliketi kwenye mkono wa kuume wa Ukuu huko juu.+ 4 Kwa hiyo amekuwa bora kuliko malaika,+ kwa maana amerithi jina bora kabisa kuliko lao.+

5 Kwa mfano, Mungu aliwahi kumwambia nani kati ya malaika: “Wewe ni mwanangu; leo nimekuwa baba yako”?+ Na tena: “Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu”?+ 6 Lakini anapomleta tena Mzaliwa wake wa kwanza+ katika dunia inayokaliwa, anasema: “Malaika wote wa Mungu na wamsujudie.”*

7 Pia, anasema kuhusu malaika: “Huwafanya malaika wake kuwa roho, na wahudumu wake*+ kuwa mwali wa moto.”+ 8 Lakini kumhusu Mwana, anasema: “Mungu ni kiti chako cha ufalme+ milele na milele, na fimbo ya Ufalme wako ni fimbo ya unyoofu.* 9 Ulipenda uadilifu, nawe ukachukia uasi sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, amekutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+ 10 Na: “Hapo mwanzoni, Ee Bwana, uliiweka misingi ya dunia, na mbingu ni kazi za mikono yako. 11 Hizo zitaangamia, lakini wewe utadumu; na zote zitachakaa kama vazi, 12 nawe utazikunja kama kanzu, kama vazi, nazo zitabadilishwa. Lakini wewe ni yuleyule, na miaka yako haitafikia mwisho kamwe.”+

13 Lakini amewahi kumwambia malaika yupi hivi: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume mpaka niwaweke maadui wako kuwa kiti cha miguu yako”?+ 14 Je, wao wote si roho kwa ajili ya utumishi mtakatifu,*+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi wokovu?

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki