WIMBO NA. 20
Ulimtoa Mwana Wako Mpendwa
- 1. Yehova, Ee Baba, - Tu watenda-dhambi - Fidia imetupa - tumaini! - Twataka kufanya - yote tuwezayo - Wengine wajue, - wema wako wote. - (KORASI) - Mwanao mpendwa, - Ulitoa afe. - Tutaimba milele, - Kwa kutupa Mwana wako. 
- 2. Fadhili, rehema, - Zatuvuta kwako. - Twasema asante, - na twathamini - kutoa Mwanao - kwa ajili yetu - uzima tupate - twashukuru sana. - (KORASI) - Mwanao mpendwa, - Ulitoa afe. - Tutaimba milele, - Kwa kutupa Mwana wako. - (UMALIZIO) - Yehova, Ee Baba, Tunakushukuru. - Twasema asante, kutoa Mwana wako. 
(Ona pia Yoh. 3:16; 15:13.)