Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 33:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini Yakobo akasema: “Hapana, tafadhali. Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako,+ basi ichukue zawadi yangu mkononi mwangu, kwa sababu kwa kupatana na kusudi lake mimi nimeona uso wako kana kwamba ni kuona uso wa Mungu kwa kuwa umenipokea vizuri.+

  • Methali 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Zawadi ya mwanadamu itamfungulia nafasi kubwa,+ nayo itamwongoza hata mbele ya watu wakuu.+

  • Waroma 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini, “ikiwa adui yako ana njaa, mlishe; ikiwa ana kiu, mpe kitu anywe;+ kwa maana kwa kufanya hivyo utakusanya makaa yenye moto juu ya kichwa chake.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki