Mwanzo 49:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Huko walimzika Abrahamu na Sara mke wake.+ Huko walimzika Isaka na Rebeka mke wake,+ na huko nilimzika Lea. Matendo 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na bado hakumpa urithi wowote ndani yake, hapana, hata upana wa wayo mmoja wa mguu;+ bali aliahidi kumpa hiyo kuwa miliki,+ na uzao wake baada yake,+ alipokuwa bado hana mtoto.+
31 Huko walimzika Abrahamu na Sara mke wake.+ Huko walimzika Isaka na Rebeka mke wake,+ na huko nilimzika Lea.
5 Na bado hakumpa urithi wowote ndani yake, hapana, hata upana wa wayo mmoja wa mguu;+ bali aliahidi kumpa hiyo kuwa miliki,+ na uzao wake baada yake,+ alipokuwa bado hana mtoto.+