2 Samweli 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na hata mwanamume shujaa ambaye moyo wake ni kama moyo wa simba+ hakika atayeyuka katika udhaifu;+ kwa maana Israeli wote wanajua kwamba baba yako ni mwanamume mwenye nguvu+ na pia wale wanaume mashujaa walio pamoja naye.+ Methali 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwovu hukimbia wakati hakuna anayemfuatilia,+ lakini waadilifu ni kama mwana-simba mwenye uhakika.+
10 Na hata mwanamume shujaa ambaye moyo wake ni kama moyo wa simba+ hakika atayeyuka katika udhaifu;+ kwa maana Israeli wote wanajua kwamba baba yako ni mwanamume mwenye nguvu+ na pia wale wanaume mashujaa walio pamoja naye.+
28 Mwovu hukimbia wakati hakuna anayemfuatilia,+ lakini waadilifu ni kama mwana-simba mwenye uhakika.+