Mwanzo 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha akasema: “Yehova, ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako, tafadhali usimpite mtumishi wako.+ Mwanzo 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi wale malaika wawili wakafika Sodoma wakati wa jioni, na Loti alikuwa ameketi katika lango la Sodoma.+ Loti alipowaona, akasimama awapokee, akainama kifudifudi.+ Mathayo 25:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa maana nilikuwa mwenye njaa nanyi mkanipa chakula;+ nilikuwa na kiu nanyi mkanipa kinywaji. Nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;+
3 Kisha akasema: “Yehova, ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako, tafadhali usimpite mtumishi wako.+
19 Basi wale malaika wawili wakafika Sodoma wakati wa jioni, na Loti alikuwa ameketi katika lango la Sodoma.+ Loti alipowaona, akasimama awapokee, akainama kifudifudi.+
35 Kwa maana nilikuwa mwenye njaa nanyi mkanipa chakula;+ nilikuwa na kiu nanyi mkanipa kinywaji. Nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;+