SEPTEMBA 22-28
MHUBIRI 1-2
Wimbo 103 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)
1. Endelea Kukizoeza Kizazi Kinachofuata
(Dak. 10)
[Onyesha VIDEO Utangulizi wa Mhubiri.]
Kila kizazi kina jukumu la kuzoeza kizazi kinachofuata (Mhu 1:4; w17.01 27-28 ¶3-4)
Tunapowazoeza na kuwakabidhi wengine majukumu, tunaruhusu wengine wapate shangwe inayotokana na kufanya kazi kwa bidii katika utumishi wa Yehova (Mhu 2:24)
Usiruhusu shangwe unayopata kwa sababu ya kuwa na mapendeleo ikuzuie kuwazoeza ndugu vijana ili watimize mengi zaidi
2. Hazina za Kiroho
(Dak. 10)
Mhu 1:1—Fafanua jukumu la Sulemani akiwa “mkutanishaji.” (it “Mhubiri” ¶1)
Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wako wa Biblia wa juma hili?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Mhu 1:1-18 (th somo la 11)
4. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 2) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Tafuta jambo lililomvutia mtu huyo na ufanye mipango ya kuwasiliana naye tena. (lmd somo la 3 jambo kuu la 5)
5. Kuanzisha Mazungumzo
(Dak. 2) MAHUBIRI YA UMMA. Zungumzia moja ya “Kweli Tunazopenda Kufundisha” kwa kutumia njia inayofafanuliwa kwenye nyongeza A ya broshua Wapende Watu. (lmd somo la 2 jambo kuu la 3)
6. Kufuatia Upendezi
(Dak. 2) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Jibu swali ambalo mtu huyo aliuliza mlipozungumza wakati uliopita. (lmd somo la 9 jambo kuu la 5)
7. Kufanya Wanafunzi
(Dak. 5) MAHUBIRI YA UMMA. Mwonyeshe jinsi funzo la Biblia linavyoongozwa na ufanye mipango ya kuendeleza funzo hilo. (lmd somo la 10 jambo kuu la 3)
Wimbo 84
8. Masomo Matatu Muhimu Kuhusu Kuzoeza
(Dak. 15) Mazungumzo.
Upendo unatuchochea kuwazoeza wengine ili kukamilisha kazi ambayo Yehova ametupatia
Biblia ina mifano mingi mizuri inayotufundisha jinsi ya kuwazoeza wengine. Tunaweza kujifunza mambo mengi kutokana na jinsi Samweli alivyomzoeza Sauli, Eliya alivyomzoeza Elisha, jinsi Yesu alivyowazoeza wanafunzi wake, na jinsi Paulo alivyomzoeza Timotheo. Bila shaka, Yehova ndiye mzoezaji bora. Tunaweza kujifunza nini kutokana na mfano wake?
Onyesha VIDEO Mwige Yehova Unapowazoeza Wengine (Yoh 5:20)—Kisehemu. Kisha waulize wasikilizaji:
Ni masomo gani matatu tunayoweza kujifunza kutoka kwa Yehova akiwa mzoezaji?
9. Funzo la Biblia la Kutaniko
(Dak. 30) lfb somo la 20-21