Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wafalme

      • Yehoashi, mufalme wa Yuda (1-3)

      • Yehoashi anatengeneza hekalu (4-16)

      • Siria inashambulia (17, 18)

      • Yehoashi anauawa (19-21)

2 Wafalme 12:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 19:16; 2 Fal. 10:30
  • +2 Fal. 11:2; 1Nya 3:10, 11
  • +2Nya 24:1, 2

2 Wafalme 12:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 33:52

2 Wafalme 12:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 31:12
  • +Kut 30:13; 2Nya 24:9
  • +Kut 25:2; 35:21

2 Wafalme 12:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wale wenye wanajuana nao.”

  • *

    Ao “yenye mipasuko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 24:7

2 Wafalme 12:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 24:5

2 Wafalme 12:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 11:4; 2Nya 23:1; 24:15
  • +2Nya 24:6

2 Wafalme 12:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 24:8; Mk 12:41; Lu 21:1
  • +2Nya 24:10

2 Wafalme 12:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuweka ndani ya mifuko.” Tnn., “kufunga.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 24:11

2 Wafalme 12:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:4-6; 2Nya 24:12

2 Wafalme 12:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Mwashi ni fundi mwenye anajenga kwa kutumia majiwe ao matofali.

2 Wafalme 12:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 10:2; 2Nya 5:12
  • +2Nya 24:14

2 Wafalme 12:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:7

2 Wafalme 12:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 5:15
  • +Law. 7:7; Hes 18:8

2 Wafalme 12:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Hazaeli akaelekeza uso wake ili kupanda kushambulia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 19:15; 2 Fal. 8:13; 10:32
  • +1Nya 18:1
  • +2Nya 24:23

2 Wafalme 12:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:18; 2 Fal. 16:8; 18:15

2 Wafalme 12:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kule Bet-milo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 24:25, 26; 25:27
  • +2 Sa. 5:9; 1 Fal. 9:15, 24; 2Nya 32:5

2 Wafalme 12:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 14:1, 5
  • +2Nya 24:27

Maandiko ingine

2 Fa. 12:11 Fal. 19:16; 2 Fal. 10:30
2 Fa. 12:12 Fal. 11:2; 1Nya 3:10, 11
2 Fa. 12:12Nya 24:1, 2
2 Fa. 12:3Hes 33:52
2 Fa. 12:42Nya 31:12
2 Fa. 12:4Kut 30:13; 2Nya 24:9
2 Fa. 12:4Kut 25:2; 35:21
2 Fa. 12:52Nya 24:7
2 Fa. 12:62Nya 24:5
2 Fa. 12:72 Fal. 11:4; 2Nya 23:1; 24:15
2 Fa. 12:72Nya 24:6
2 Fa. 12:92Nya 24:8; Mk 12:41; Lu 21:1
2 Fa. 12:92Nya 24:10
2 Fa. 12:102Nya 24:11
2 Fa. 12:112 Fal. 22:4-6; 2Nya 24:12
2 Fa. 12:13Hes 10:2; 2Nya 5:12
2 Fa. 12:132Nya 24:14
2 Fa. 12:152 Fal. 22:7
2 Fa. 12:16Law. 5:15
2 Fa. 12:16Law. 7:7; Hes 18:8
2 Fa. 12:171 Fal. 19:15; 2 Fal. 8:13; 10:32
2 Fa. 12:171Nya 18:1
2 Fa. 12:172Nya 24:23
2 Fa. 12:181 Fal. 15:18; 2 Fal. 16:8; 18:15
2 Fa. 12:202Nya 24:25, 26; 25:27
2 Fa. 12:202 Sa. 5:9; 1 Fal. 9:15, 24; 2Nya 32:5
2 Fa. 12:212 Fal. 14:1, 5
2 Fa. 12:212Nya 24:27
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wafalme 12:1-21

Cha Pili cha Wafalme

12 Katika mwaka wa saba (7) wa Yehu,+ Yehoashi+ akakuwa mufalme, na alitawala kwa miaka makumi ine (40) katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Sibia kutoka Beer-sheba.+ 2 Yehoashi aliendelea kufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova siku zote zenye Yehoyada kuhani alimufundisha. 3 Hata hivyo, mahali pa juu+ hapakuondolewa, na watu walikuwa wangali wanatoa zabihu na kuchoma zabihu ili zitoe moshi mahali pa juu.

4 Yehoashi akaambia makuhani: “Mukamate feza zote zenye zinaletwa kwenye nyumba ya Yehova kwa ajili ya matoleo matakatifu,+ feza zenye kila mutu alitakiwa kulipa,+ feza zenye zinatolewa kama samani yenye ilikadiriwa kwa kila mutu,* na feza zote zenye moyo wa kila mutu unamuchochea kuleta kwenye nyumba ya Yehova.+ 5 Makuhani wenyewe watakamata feza hizo kutoka kwa wale wenye wanazitoa* na watazitumia ili kutengeneza nyumba hiyo, kila sehemu yenye kuharibika.”*+

6 Kufikia mwaka wa makumi mbili na tatu (23) wa Mufalme Yehoashi, makuhani walikuwa hawajatengeneza sehemu zenye kuharibika kwenye nyumba hiyo.+ 7 Kwa hiyo Mufalme Yehoashi akamuita Yehoyada+ kuhani na makuhani wengine na kuwaambia: “Sababu gani hamutengeneze sehemu zenye kuharibika kwenye nyumba hiyo? Kwa hiyo, musikamate tena feza kutoka kwa watu wenye wanazitoa kwenu kama hazitumiwe kutengeneza nyumba hiyo.”+ 8 Basi makuhani wakakubali kwamba hawatakamata tena feza kutoka kwa watu na kwamba hawatakuwa na daraka la kutengeneza nyumba hiyo.

9 Kisha Yehoyada kuhani akakamata sanduku+ na akatoboa tundu kwenye kifuniko chake na akaliweka karibu na mazabahu upande wa kuume wakati mutu anaingia katika nyumba ya Yehova. Ni pale makuhani wenye kulinda mulango walikuwa wanatia feza zote zenye zililetwa katika nyumba ya Yehova.+ 10 Kila mara wakati waliona kwamba kulikuwa feza nyingi katika sanduku hilo, mwandishi wa mufalme na kuhani mukubwa walikuwa wanakuja na kukusanya* na kuhesabu feza zenye zilikuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yehova.+ 11 Feza zenye zilikuwa zimehesabiwa, walikuwa wanazitoa kwa wale wenye waliwekwa kusimamia kazi yenye kufanywa katika nyumba ya Yehova. Nao, kwa upande wao, walizilipa maseremala na wajenzi wenye walikuwa wanafanya kazi kwenye nyumba ya Yehova,+ 12 na pia waashi* na wachongaji wa majiwe. Walinunua pia mbao na majiwe yenye kuchongwa kwa ajili ya kutengeneza sehemu zenye kuharibika za nyumba ya Yehova na walitumia feza hizo kwa ajili ya garama zingine zote za kutengeneza nyumba hiyo.

13 Lakini, hakuna feza zenye zililetwa kwenye nyumba ya Yehova zenye zilitumiwa kutengeneza beseni za feza, vizimisha-moto, mabakuli, tarumbeta,+ ao chombo chochote cha zahabu ao feza kwa ajili ya nyumba ya Yehova.+ 14 Walikuwa wanazipatia wale tu wenye walifanya kazi, na walizitumia kutengeneza nyumba ya Yehova. 15 Hawakukuwa wanaomba hesabu kutoka kwa wanaume wenye walipatia feza za kupatia wafanyakazi, kwa maana walikuwa wenye kutegemeka.+ 16 Hata hivyo, feza za matoleo ya hatia+ na feza za matoleo ya zambi hazikuletwa kwenye nyumba ya Yehova; zilikuwa za makuhani.+

17 Ni wakati huo ndio Hazaeli+ mufalme wa Siria alipanda kuenda kupigana na muji wa Gati,+ na akaukamata, kisha akaamua kushambulia* Yerusalemu.+ 18 Halafu Mufalme Yehoashi wa Yuda akakamata matoleo yote matakatifu yenye mababu zake Yehoshafati, Yehoramu, na Ahazia, wafalme wa Yuda, walikuwa wametakasa, na pia matoleo yake mwenyewe matakatifu na zahabu yote yenye ilikuwa katika hazina za nyumba ya Yehova na katika nyumba ya mufalme, na akavituma kwa Hazaeli mufalme wa Siria.+ Basi akatoka Yerusalemu.

19 Na mambo mengine ya historia ya Yehoashi, mambo yote yenye alifanya, je, hayaandikwe katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? 20 Lakini, watumishi wake walifanya mupango mubaya juu yake+ na wakamupiga na kumuua Yehoashi kwenye nyumba ya Kilima,*+ katika njia yenye inashuka kuenda Sila. 21 Watumishi wake Yozakari mwana wa Shimeati na Yehozabadi mwana wa Shomeri ndio walimupiga na kumuua.+ Wakamuzika pamoja na mababu zake katika Muji wa Daudi, na Amazia mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine