Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wafalme

      • Azaria, mufalme wa Yuda (1-7)

      • Wafalme wa mwisho wa Israeli: Zekaria (8-12), Shalumu (13-16), Menahemu (17-22), Pekahia (23-26), Peka (27-31)

      • Yotamu, mufalme wa Yuda (32-38)

2 Wafalme 15:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, Yeroboamu wa Pili.

  • *

    Maana yake “Yehova Amesaidia.” Anaitwa Uzia katika 2Fa 15:13; 2Nya 26:1-23; Isa 6:1; na Zek 14:5.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 14:21
  • +2 Fal. 14:1
  • +2Nya 26:1, 3

2 Wafalme 15:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 26:4, 5

2 Wafalme 15:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 33:52
  • +Kum 12:13, 14; 1 Fal. 22:41, 43; 2 Fal. 14:1, 4

2 Wafalme 15:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba ya mufalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 12:10; 2 Fal. 5:27
  • +Law. 13:45, 46
  • +2 Fal. 15:32
  • +2Nya 26:16-21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/4/2015, uku. 21

    8/1/2005, uku. 11

2 Wafalme 15:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 26:22, 23

2 Wafalme 15:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 6:1

2 Wafalme 15:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 14:21
  • +2 Fal. 14:29

2 Wafalme 15:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 12:28-30; 13:33; 14:16

2 Wafalme 15:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ho 1:4; Amo 7:9
  • +Yosh. 17:11

2 Wafalme 15:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 13:1, 10; 14:23, 29
  • +2 Fal. 10:30

2 Wafalme 15:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 26:1

2 Wafalme 15:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 14:17; 15:21; 16:8, 17
  • +2 Fal. 15:10

2 Wafalme 15:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 12:28-30; 13:33; 14:16

2 Wafalme 15:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Talanta moja ilikuwa sawa na kilograme 34.2 (aunsi troi 1.101). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 5:26
  • +2 Fal. 12:18; 16:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 69-70

2 Wafalme 15:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Shekeli moja ilikuwa sawa na grame 11.4 (aunsi troi 0.367). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:35

2 Wafalme 15:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 15:14

2 Wafalme 15:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 12:28-30; 13:33; 14:16

2 Wafalme 15:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 28:6

2 Wafalme 15:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 28:6; Isa 7:1, 4

2 Wafalme 15:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 12:28-30; 13:33; 14:16

2 Wafalme 15:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 16:7; 1Nya 5:6, 26; 2Nya 28:19, 20
  • +1 Fal. 15:20
  • +Yosh. 20:7, 9
  • +Hes 32:40
  • +Isa 9:1
  • +Law. 26:38; Kum 28:64; 2 Fal. 17:22, 23; Isa 8:4

2 Wafalme 15:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 17:1
  • +2Nya 27:1

2 Wafalme 15:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 27:7; Mt 1:9
  • +2 Fal. 14:21

2 Wafalme 15:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 27:1

2 Wafalme 15:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 27:2

2 Wafalme 15:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 33:52; Kum 12:14
  • +2Nya 27:3

2 Wafalme 15:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 15:27; 2Nya 28:6
  • +2 Fal. 16:5; Isa 7:1, 2

Maandiko ingine

2 Fa. 15:12 Fal. 14:21
2 Fa. 15:12 Fal. 14:1
2 Fa. 15:12Nya 26:1, 3
2 Fa. 15:32Nya 26:4, 5
2 Fa. 15:4Hes 33:52
2 Fa. 15:4Kum 12:13, 14; 1 Fal. 22:41, 43; 2 Fal. 14:1, 4
2 Fa. 15:5Hes 12:10; 2 Fal. 5:27
2 Fa. 15:5Law. 13:45, 46
2 Fa. 15:52 Fal. 15:32
2 Fa. 15:52Nya 26:16-21
2 Fa. 15:62Nya 26:22, 23
2 Fa. 15:7Isa 6:1
2 Fa. 15:82 Fal. 14:21
2 Fa. 15:82 Fal. 14:29
2 Fa. 15:91 Fal. 12:28-30; 13:33; 14:16
2 Fa. 15:10Ho 1:4; Amo 7:9
2 Fa. 15:10Yosh. 17:11
2 Fa. 15:122 Fal. 13:1, 10; 14:23, 29
2 Fa. 15:122 Fal. 10:30
2 Fa. 15:132Nya 26:1
2 Fa. 15:141 Fal. 14:17; 15:21; 16:8, 17
2 Fa. 15:142 Fal. 15:10
2 Fa. 15:181 Fal. 12:28-30; 13:33; 14:16
2 Fa. 15:191Nya 5:26
2 Fa. 15:192 Fal. 12:18; 16:8
2 Fa. 15:202 Fal. 23:35
2 Fa. 15:212 Fal. 15:14
2 Fa. 15:241 Fal. 12:28-30; 13:33; 14:16
2 Fa. 15:252Nya 28:6
2 Fa. 15:272Nya 28:6; Isa 7:1, 4
2 Fa. 15:281 Fal. 12:28-30; 13:33; 14:16
2 Fa. 15:292 Fal. 16:7; 1Nya 5:6, 26; 2Nya 28:19, 20
2 Fa. 15:291 Fal. 15:20
2 Fa. 15:29Yosh. 20:7, 9
2 Fa. 15:29Hes 32:40
2 Fa. 15:29Isa 9:1
2 Fa. 15:29Law. 26:38; Kum 28:64; 2 Fal. 17:22, 23; Isa 8:4
2 Fa. 15:302 Fal. 17:1
2 Fa. 15:302Nya 27:1
2 Fa. 15:322Nya 27:7; Mt 1:9
2 Fa. 15:322 Fal. 14:21
2 Fa. 15:332Nya 27:1
2 Fa. 15:342Nya 27:2
2 Fa. 15:35Hes 33:52; Kum 12:14
2 Fa. 15:352Nya 27:3
2 Fa. 15:372 Fal. 15:27; 2Nya 28:6
2 Fa. 15:372 Fal. 16:5; Isa 7:1, 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wafalme 15:1-38

Cha Pili cha Wafalme

15 Katika mwaka wa makumi mbili na saba (27) wa Mufalme Yeroboamu* wa Israeli, Azaria*+ mwana wa Mufalme Amazia+ wa Yuda akakuwa mufalme.+ 2 Alikuwa na miaka kumi na sita (16) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka makumi tano na mbili (52) katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yekolia wa Yerusalemu. 3 Aliendelea kufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova, kama vile Amazia baba yake alikuwa amefanya.+ 4 Hata hivyo, mahali pa juu hapakuondolewa,+ na watu walikuwa wangali wanatoa zabihu na kuchoma zabihu ili zitoe moshi mahali pa juu.+ 5 Yehova alimuletea mufalme pigo, na alibakia mwenye ukoma+ mupaka siku ya kifo chake; na alikaa katika nyumba yenye ilitengwa,+ wakati Yotamu mwana wa mufalme+ alikuwa anasimamia nyumba,* akihukumu watu wa inchi.+ 6 Na mambo mengine ya historia ya Azaria,+ mambo yote yenye alifanya, je, hayaandikwe katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? 7 Kisha Azaria akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake,+ na wakamuzika pamoja na mababu zake katika Muji wa Daudi; na Yotamu mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.

8 Katika mwaka wa makumi tatu na munane (38) wa Mufalme Azaria+ wa Yuda, Zekaria+ mwana wa Yeroboamu akakuwa mufalme juu ya Israeli katika Samaria, na alitawala kwa miezi sita (6). 9 Alifanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova, kama vile mababu zake walikuwa wamefanya. Hakuacha zambi zenye Yeroboamu mwana wa Nebati alikuwa amefanya Israeli watende.+ 10 Kisha Shalumu mwana wa Yabeshi akafanya mupango mubaya juu yake na akamupiga na kumuua+ kule Ibleamu.+ Kisha kumuua, akakuwa mufalme pa nafasi yake. 11 Na mambo mengine ya historia ya Zekaria, yameandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli. 12 Jambo hilo lilitimiza neno lenye Yehova alikuwa ameambia Yehu: “Vizazi ine (4) vya wana wako+ vitakaa kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.”+ Na ni vile ilitendeka.

13 Shalumu mwana wa Yabeshi akakuwa mufalme katika mwaka wa makumi tatu na kenda (39) wa Mufalme Uzia+ wa Yuda, na alitawala kwa mwezi mumoja kamili katika Samaria. 14 Kisha Menahemu mwana wa Gadi akapanda kutoka Tirsa+ na kuja Samaria na akamupiga na kumuua Shalumu+ mwana wa Yabeshi katika Samaria. Kisha kumuua, akakuwa mufalme pa nafasi yake. 15 Na mambo mengine ya historia ya Shalumu na mupango mubaya wenye alifanya, yameandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli. 16 Wakati huo ndio Menahemu alikuja kutoka Tirsa na alipiga Tifsa na watu wote wenye walikuwa ndani yake na eneo lake, kwa sababu haikumufungulia milango yake mikubwa. Aliipiga na kupasua tumbo za wanamuke wa miji hiyo wenye walikuwa na mimba.

17 Katika mwaka wa makumi tatu na kenda (39) wa Mufalme Azaria wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akakuwa mufalme juu ya Israeli, na alitawala kwa miaka kumi (10) katika Samaria. 18 Aliendelea kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova. Hakuacha zambi zote zenye Yeroboamu mwana wa Nebati alikuwa amefanya Israeli watende,+ siku zake zote. 19 Mufalme Pulu+ wa Ashuru aliingia katika inchi, na Menahemu akamupatia Pulu talanta* elfu moja (1 000) za feza ili amusaidie kutia nguvu mamlaka yake katika ufalme.+ 20 Basi Menahemu alikusanya feza kutoka Israeli kwa kuzilipisha wanaume wa maana, matajiri.+ Akapatia mufalme wa Ashuru shekeli* makumi tano (50) za feza kwa kila mwanaume. Kisha mufalme wa Ashuru akarudia na hakubakia katika inchi. 21 Na mambo mengine ya historia ya Menahemu,+ mambo yote yenye alifanya, je, hayaandikwe katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli? 22 Kisha Menahemu akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake; na Pekahia mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.

23 Katika mwaka wa makumi tano (50) wa Mufalme Azaria wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu akakuwa mufalme juu ya Israeli katika Samaria, na alitawala kwa miaka mbili. 24 Aliendelea kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova. Hakuacha zambi zenye Yeroboamu mwana wa Nebati alikuwa amefanya Israeli watende.+ 25 Kisha, kamanda wake musaidizi, Peka+ mwana wa Remalia, akafanya mupango mubaya juu yake na akamupiga na kumuua katika Samaria katika munara wenye ngome wa nyumba ya mufalme pamoja na Argobu na Arie. Alikuwa na wanaume makumi tano (50) wa Gileadi pamoja naye; na kisha kumuua, akakuwa mufalme pa nafasi yake. 26 Na mambo mengine ya historia ya Pekahia, mambo yote yenye alifanya, yameandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli.

27 Katika mwaka wa makumi tano na mbili (52) wa Mufalme Azaria wa Yuda, Peka+ mwana wa Remalia akakuwa mufalme juu ya Israeli katika Samaria, na alitawala kwa miaka makumi mbili (20). 28 Aliendelea kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova, na hakuacha zambi zenye Yeroboamu mwana wa Nebati alikuwa amefanya Israeli watende.+ 29 Katika siku za Mufalme Peka wa Israeli, Mufalme Tiglat-pileseri+ wa Ashuru alishambulia na kukamata Iyoni, Abel-bet-maaka,+ Yanoa, Kedeshi,+ Hasori, Gileadi,+ na Galilaya⁠—​inchi yote ya Naftali+⁠—​na akakamata wakaaji na kuwapeleka katika uhamisho kule Ashuru.+ 30 Kisha Hoshea+ mwana wa Ela akafanya mupango mubaya juu ya Peka mwana wa Remalia, na akamupiga na kumuua; na akakuwa mufalme pa nafasi yake katika mwaka wa makumi mbili (20) wa Yotamu+ mwana wa Uzia. 31 Na mambo mengine ya historia ya Peka, mambo yote yenye alifanya, yameandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli.

32 Katika mwaka wa pili wa Peka mwana wa Remalia mufalme wa Israeli, Yotamu+ mwana wa Mufalme Uzia+ wa Yuda akakuwa mufalme. 33 Alikuwa na miaka makumi mbili na tano (25) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka kumi na sita (16) katika Yerusalemu. Jina la mama yake lilikuwa Yerusha binti ya Sadoki.+ 34 Aliendelea kufanya mambo yenye yalikuwa sawa mbele ya macho ya Yehova, kama vile Uzia baba yake alikuwa amefanya.+ 35 Hata hivyo, mahali pa juu hapakuondolewa, na watu walikuwa wangali wanatoa zabihu na kuchoma zabihu ili zitoe moshi mahali pa juu.+ Yeye ndiye alijenga mulango mukubwa wa juu wa nyumba ya Yehova.+ 36 Na mambo mengine ya historia ya Yotamu, mambo yenye alifanya, je, hayaandikwe katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? 37 Katika siku hizo Yehova alianza kutuma Resini mufalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia ili kushambulia Yuda.+ 38 Kisha Yotamu akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake katika Muji wa Daudi babu yake. Na Ahazi mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine