Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Utawala wa Rehoboamu (1-12)

      • Walawi washikamanifu wanahamia Yuda (13-17)

      • Familia ya Rehoboamu (18-23)

2 Mambo ya Nyakati 11:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wenye walichaguliwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 49:27; 2Nya 14:8
  • +1 Fal. 12:21-24

2 Mambo ya Nyakati 11:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 12:15

2 Mambo ya Nyakati 11:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 11:31; 2Nya 10:15

2 Mambo ya Nyakati 11:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “akafanya imara.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 35:19; Mt 2:1
  • +Amo 1:1

2 Mambo ya Nyakati 11:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 28:18
  • +1 Sa. 22:1

2 Mambo ya Nyakati 11:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 18:1
  • +1 Sa. 23:14

2 Mambo ya Nyakati 11:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:9
  • +Yosh. 10:10; Yer 34:7

2 Mambo ya Nyakati 11:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 19:42, 48
  • +Yosh. 14:14, 15; 2 Sa. 2:1

2 Mambo ya Nyakati 11:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 35:2, 3
  • +1 Fal. 12:31, 32

2 Mambo ya Nyakati 11:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kwa ajili ya mbuzi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 13:33
  • +Law. 17:7
  • +1 Fal. 12:26, 28

2 Mambo ya Nyakati 11:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:11; 1Nya 22:1; 2Nya 15:8, 9; 30:10, 11

2 Mambo ya Nyakati 11:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:6; 17:13

2 Mambo ya Nyakati 11:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 13:1; 18:33
  • +1 Fal. 15:1; 2Nya 12:16; Mt 1:7

2 Mambo ya Nyakati 11:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:17

2 Mambo ya Nyakati 11:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “akasambaza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 11:5, 11

Maandiko ingine

2 Nya. 11:1Mwa 49:27; 2Nya 14:8
2 Nya. 11:11 Fal. 12:21-24
2 Nya. 11:22Nya 12:15
2 Nya. 11:41 Fal. 11:31; 2Nya 10:15
2 Nya. 11:6Mwa 35:19; Mt 2:1
2 Nya. 11:6Amo 1:1
2 Nya. 11:72Nya 28:18
2 Nya. 11:71 Sa. 22:1
2 Nya. 11:81Nya 18:1
2 Nya. 11:81 Sa. 23:14
2 Nya. 11:92Nya 32:9
2 Nya. 11:9Yosh. 10:10; Yer 34:7
2 Nya. 11:10Yosh. 19:42, 48
2 Nya. 11:10Yosh. 14:14, 15; 2 Sa. 2:1
2 Nya. 11:14Hes 35:2, 3
2 Nya. 11:141 Fal. 12:31, 32
2 Nya. 11:151 Fal. 13:33
2 Nya. 11:15Law. 17:7
2 Nya. 11:151 Fal. 12:26, 28
2 Nya. 11:16Kum 12:11; 1Nya 22:1; 2Nya 15:8, 9; 30:10, 11
2 Nya. 11:181 Sa. 16:6; 17:13
2 Nya. 11:202 Sa. 13:1; 18:33
2 Nya. 11:201 Fal. 15:1; 2Nya 12:16; Mt 1:7
2 Nya. 11:21Kum 17:17
2 Nya. 11:232Nya 11:5, 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 11:1-23

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

11 Wakati Rehoboamu alifika Yerusalemu, alikusanya mara moja nyumba ya Yuda na Benyamini,+ wapiganaji-vita elfu mia moja makumi munane (180 000) wenye walizoezwa,* wapigane na Israeli ili kurudisha ufalme kwa Rehoboamu.+ 2 Kisha neno la Yehova likakuja kwa Shemaya+ mutu wa Mungu wa kweli, na kusema: 3 “Ambia Rehoboamu mwana wa Sulemani mufalme wa Yuda na uambie Israeli wote wenye kuwa katika Yuda na Benyamini, 4 ‘Yehova anasema hivi: “Hamupaswe kupanda na kupigana na ndugu zenu. Kila mumoja wenu arudie kwenye nyumba yake, kwa maana nimefanya mambo haya yatendeke.”’”+ Basi wakatii neno la Yehova na wakarudia na hawakuenda tena kupigana na Yeroboamu.

5 Rehoboamu aliishi Yerusalemu na alijenga miji yenye ngome katika Yuda. 6 Basi akajenga* Betlehemu,+ Etamu, Tekoa,+ 7 Bet-suri, Soko,+ Adulamu,+ 8 Gati,+ Maresha, Zifu,+ 9 Adoraimu, Lakishi,+ Azeka,+ 10 Sora, Aiyaloni,+ na Hebroni,+ miji yenye ngome yenye ilikuwa katika Yuda na Benyamini. 11 Tena, akafanya imara maeneo yenye ngome na akaweka makamanda ndani na kuwapatia chakula na mafuta na divai, 12 na akatia ngao kubwa na mikuki katika miji yote mbalimbali; akaifanya imara kwa kiwango kikubwa sana. Na Yuda na Benyamini wakaendelea kuwa wake.

13 Na makuhani na Walawi wenye walikuwa katika Israeli yote wakajiweka upande wake, wakikuja kutoka katika maeneo yao yote. 14 Walawi waliacha malisho yao na eneo lao+ na wakakuja Yuda na Yerusalemu, kwa sababu Yeroboamu na wana wake walikuwa wamewaondoa ili wasitumike tena wakiwa makuhani kwa ajili ya Yehova.+ 15 Kisha Yeroboamu akaweka makuhani wake mwenyewe kwa ajili ya mahali pa juu+ na kwa ajili ya pepo wachafu wenye kufanana na mbuzi*+ na vitoto-dume vya ngombe vyenye alikuwa ametengeneza.+ 16 Na wale wenye walitoka katika makabila yote ya Israeli wenye walikuwa wameweka moyo wao ili kumutafuta Yehova Mungu wa Israeli wakawafuata mupaka Yerusalemu ili kumutolea zabihu Yehova Mungu wa mababu zao.+ 17 Kwa miaka tatu (3) walitia nguvu ufalme wa Yuda na kumuunga mukono Rehoboamu mwana wa Sulemani, kwa maana walitembea katika njia ya Daudi na Sulemani kwa miaka tatu.

18 Kisha Rehoboamu akamuchukua Mahalati binti ya Yerimoti mwana wa Daudi na wa Abihaili binti ya Eliabu mwana wa Yese kuwa bibi yake.+ 19 Kisha wakati fulani akamuzalia wana: Yeushi, Shemaria, na Zahamu. 20 Kisha yeye, akaoa Maaka mujukuu wa Absalomu.+ Kisha wakati fulani akamuzalia Abiya,+ Atai, Ziza, na Shelomiti. 21 Rehoboamu alimupenda zaidi Maaka mujukuu wa Absalomu kuliko bibi zake wengine wote na masuria,*+ kwa maana alichukua bibi kumi na munane (18) na masuria makumi sita (60), na akazaa watoto wanaume makumi mbili na munane (28) na watoto wanamuke makumi sita. 22 Kwa hiyo Rehoboamu akamuweka Abiya mwana wa Maaka kuwa kichwa na kiongozi kati ya ndugu zake, kwa maana alikusudia kumufanya kuwa mufalme. 23 Lakini, alitenda kwa uelewaji na akatuma* wamoja kati ya wana wake kwenye maeneo yote ya Yuda na Benyamini, kwenye miji yote yenye ngome,+ na akawapatia chakula kingi na kuwapatia bibi wengi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine