Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 7:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Kisha mambo hayo Yehova akamuambia Noa: “Ingia ndani ya safina wewe pamoja na nyumba yako yote, kwa sababu ni wewe nimeona kuwa mwenye haki mbele yangu kati ya kizazi hiki.+

  • Ezekieli 14:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 “‘Hata kama watu hawa watatu​—⁠Noa,+ Danieli,+ na Yobu+​—⁠wangekuwa ndani ya inchi hiyo, wangeweza kujiokoa wao wenyewe* tu kwa sababu ya haki yao,’+ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi Yehova anasema.”

  • Matayo 24:37
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 37 Kwa maana kama vile siku za Noa zilikuwa,+ ni vile kuwapo* kwa Mwana wa binadamu kutakuwa.+

  • Waebrania 11:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Kwa imani Noa,+ kisha kupokea onyo kutoka kwa Mungu juu ya mambo yenye yalikuwa hayajaonekana,+ alionyesha kuwa anamuogopa Mungu na akajenga safina+ ili kuokoa nyumba yake; na kupitia imani hiyo alihukumu ulimwengu,+ na akakuwa muriti wa haki yenye inatokana na imani.

  • 1 Petro 3:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 wenye zamani hawakukuwa watiifu wakati Mungu alikuwa anangojea kwa uvumilivu* katika siku za Noa,+ wakati safina ilikuwa inajengwa,+ yenye ndani yake watu kidogo, ni kusema, nafsi* munane (8), walichukuliwa salama kupitia maji.+

  • 2 Petro 2:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Na hakujizuia kupatia ulimwengu wa zamani azabu,+ lakini alimulinda Noa, muhubiri wa haki,+ akiwa salama pamoja na watu wengine saba (7)+ wakati alileta garika juu ya ulimwengu wa watu wenye hawamuogope Mungu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine