7 Kisha Yehova akamutokea Abramu na kumuambia: “Nitapatia uzao+ wako* inchi hii.”+ Kwa hiyo Abramu akajenga mazabahu pale kwa ajili ya Yehova, mwenye alikuwa amemutokea.
15Kisha mambo hayo neno la Yehova likakuja kwa Abramu katika maono, na kusema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao kwako.+ Zawabu yako itakuwa kubwa sana.”+
23 na andiko likatimizwa lenye linasema: “Abrahamu alikuwa na imani katika Yehova,* na hilo likahesabiwa kwake kuwa haki,”+ na akaitwa rafiki ya Yehova.*+