-
Ufunuo 4:8Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
8 Na vile viumbe ine (4) vyenye uzima, kila kimoja cha viumbe hivyo kilikuwa na mabawa sita (6); vilikuwa vimejaa macho kuvizunguka na chini yavyo.+ Na bila kuacha, muchana na usiku, vinasema: “Mutakatifu, mutakatifu, mutakatifu ni Yehova*+ Mungu, Mweza-Yote, mwenye alikuwa na mwenye iko* na mwenye anakuja.”+
-