Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Fimbo ya ufalme haitatoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kamanda kutoka katikati ya miguu yake, mupaka wakati Shilo* atakuja,+ na vikundi vya watu vitamutii yeye.+

  • Hesabu 24:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Nitamuona, lakini hapana sasa;

      Nitamuangalia, lakini hapana sasa hivi.

      Nyota+ itatoka katika Yakobo,

      Na fimbo ya ufalme+ itainuka katika Israeli.+

      Na hakika atapasua paji la uso la Moabu+

      Na mufupa wa kichwa wa wana wote wa fujo.

  • Luka 7:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Basi wote wakaogopa, na wakaanza kumutukuza Mungu na kusema: “Nabii mukubwa ameinuliwa katikati yetu,”+ na, “Mungu amekumbuka watu wake.”+

  • Yohana 1:45
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 45 Filipo akamukuta Natanaeli+ na kumuambia: “Tumemupata ule mwenye Musa, katika Sheria, na Manabii waliandika juu yake: Yesu, mwana wa Yosefu,+ kutoka Nazareti.”

  • Yohana 6:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Wakati watu waliona alama yenye alifanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii mwenye alipaswa kuja katika ulimwengu.”+

  • Matendo 3:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia ninyi kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.+ Munapaswa kusikiliza kila kitu chenye atawaambia.+

  • Matendo 7:37
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 37 “Huyo ndiye ule Musa mwenye aliambia wana wa Israeli: ‘Mungu atawainulia ninyi kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.’+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine