Kumbukumbu la Torati 18:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Yehova Mungu wako atakuinulia nabii kama mimi kati ya ndugu zako. Unapaswa kumusikiliza. + Kumbukumbu la Torati 18:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Nitawainulia nabii kama wewe+ katikati ya ndugu zao, na nitatia maneno yangu katika kinywa chake,+ na atawaambia mambo yote yenye nitamuamuru.+
18 Nitawainulia nabii kama wewe+ katikati ya ndugu zao, na nitatia maneno yangu katika kinywa chake,+ na atawaambia mambo yote yenye nitamuamuru.+