Kumbukumbu la Torati 18:15 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 15 Yehova Mungu wako atakuinulia nabii kama mimi kati ya ndugu zako. Unapaswa kumusikiliza. + Matendo 3:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia ninyi kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.+ Munapaswa kusikiliza kila kitu chenye atawaambia.+
22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia ninyi kutoka kati ya ndugu zenu nabii kama mimi.+ Munapaswa kusikiliza kila kitu chenye atawaambia.+