-
Yoshua 2:9-11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Akawaambia: “Ninajua kwamba Yehova atawapatia inchi hii+ na tumeogopa kwa sababu yenu.+ Wakaaji wote wa inchi wamevunjika moyo kwa sababu yenu,+ 10 kwa maana tulisikia namna Yehova alikausha maji ya Bahari Nyekundu mbele yenu wakati mulitoka Misri+ na mambo yenye mulitendea wale wafalme wawili wa Waamori, Sihoni+ na Ogu,+ wenye muliharibu kabisa ngambo ingine ya* Yordani. 11 Wakati tulisikia kuhusu mambo hayo, mioyo yetu ilizimia kwa sababu ya woga,* na hakuna mwenye alikuwa na uhodari wowote kwa sababu yenu, kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na chini duniani.+
-
-
Yoshua 5:1Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Wakati tu wafalme wote wa Waamori+ wenye walikuwa upande wa mangaribi* wa Yordani na wafalme wote wa Wakanaani+ wenye walikuwa karibu na bahari walisikia kwamba Yehova alikausha maji ya Yordani mbele ya Waisraeli mupaka wakati walimaliza kuvuka, wakavunjika moyo*+ na hawakukuwa na uhodari wowote kwa sababu ya Waisraeli.+
-