Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Yehova atatawala akiwa mufalme milele na milele.+

  • 1 Samweli 10:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Lakini leo mumemukataa Mungu wenu+ mwenye alikuwa Mwokozi wenu katika maovu yenu yote na taabu zenu, na mulisema: “Hapana, unapaswa kuweka mufalme juu yetu.” Sasa musimame mbele ya Yehova kulingana na makabila yenu na kulingana na maelfu yenu.’”*

  • Isaya 33:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Kwa maana Yehova ni Muamuzi wetu,+

      Yehova ni Mupaji-sheria wetu,+

      Yehova ni Mufalme wetu;+

      Yeye Ndiye atatuokoa.+

  • Isaya 43:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Mimi ni Yehova Mutakatifu wenu,+ Muumbaji wa Israeli,+ Mufalme wenu.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine