Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 1:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Na akafanya naziri hii: “Ee Yehova wa majeshi, kama utaona mateso ya mutumishi wako na kunikumbuka na kama haumusahau mutumishi wako na umupatie mutumishi wako mutoto mwanaume,+ nitamutoa akuwe wa Yehova sikuzote za maisha yake, na wembe hautagusa kichwa chake.”+

  • 1 Samweli 2:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Basi Elkana akaenda kwenye nyumba yake kule Rama, lakini ule mutoto mwanaume akakuwa mutumishi wa* Yehova+ mbele ya kuhani Eli.

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Hilo lilikuwa kwa kuongezea ugawaji wenye ulikuwa unafanywa kwa ajili ya wanaume wa miaka tatu (3) na zaidi wenye waliandikishwa katika maandikisho kulingana na ukoo, wenye walikuja kila siku kutumika katika nyumba ya Yehova na kutimiza madaraka ya vikundi vyao.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine