-
Kutoka 23:14Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
14 “Mara tatu (3) kwa mwaka utanifanyia sikukuu.+
-
-
Kutoka 34:23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 “Mara tatu (3) kwa mwaka, wanaume wako wote wanapaswa kuonekana mbele ya Bwana wa kweli, Yehova, Mungu wa Israeli.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 12:5, 6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
5 Lakini, mumutafute Yehova Mungu wenu kila mahali kwenye atachagua kuweka jina lake na mahali kwenye atakaa kati ya makabila yenu yote, na muende pale.+ 6 Ni pale mutapeleka matoleo yenu ya kuteketezwa,+ zabihu zenu, sehemu zenu za kumi,+ muchango kutoka katika mukono wenu,+ matoleo yenu ya naziri, matoleo yenu ya kujipendea,+ na muzaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na kundi lenu.+
-
-
Waamuzi 21:19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
19 Kisha wakasema: “Angalia! Kuko sikukuu ya Yehova kila mwaka kule Shilo,+ muji wenye kuwa upande wa kaskazini wa Beteli na upande wa mashariki wa barabara kubwa yenye inapanda kuanzia Beteli mupaka Shekemu na upande wa kusini wa Lebona.”
-