Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 “Mara tatu (3) kwa mwaka utanifanyia sikukuu.+

  • Kutoka 34:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 “Mara tatu (3) kwa mwaka, wanaume wako wote wanapaswa kuonekana mbele ya Bwana wa kweli, Yehova, Mungu wa Israeli.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:5, 6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 Lakini, mumutafute Yehova Mungu wenu kila mahali kwenye atachagua kuweka jina lake na mahali kwenye atakaa kati ya makabila yenu yote, na muende pale.+ 6 Ni pale mutapeleka matoleo yenu ya kuteketezwa,+ zabihu zenu, sehemu zenu za kumi,+ muchango kutoka katika mukono wenu,+ matoleo yenu ya naziri, matoleo yenu ya kujipendea,+ na muzaliwa wa kwanza wa mifugo yenu na kundi lenu.+

  • Yoshua 18:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Kisha mukusanyiko wote wa Waisraeli ukakusanyika Shilo,+ na wakasimamisha hema ya mukutano kule,+ kwa maana inchi ilikuwa sasa imetiishwa mbele yao.+

  • Waamuzi 21:19
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 19 Kisha wakasema: “Angalia! Kuko sikukuu ya Yehova kila mwaka kule Shilo,+ muji wenye kuwa upande wa kaskazini wa Beteli na upande wa mashariki wa barabara kubwa yenye inapanda kuanzia Beteli mupaka Shekemu na upande wa kusini wa Lebona.”

  • Luka 2:41
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 41 Basi wazazi wake walizoea kuenda Yerusalemu kila mwaka kwa ajili ya sikukuu ya Pasaka.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine