Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 1:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Mwaka kwa mwaka mwanaume huyo alitoka katika muji wake na kupanda ili kumuabudu* na kumutolea zabihu Yehova wa majeshi kule Shilo.+ Ni kule wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi,+ walitumikia wakiwa makuhani wa Yehova.+

  • 1 Samweli 4:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Wakati watu walirudia katika kambi, wazee wa Israeli wakasema: “Sababu gani Yehova ameruhusu tushindwe leo na Wafilisti?*+ Tulete sanduku la agano la Yehova kutoka Shilo,+ ili likuwe pamoja na sisi na lituokoe katika mukono wa maadui wetu.”

  • Zaburi 78:60
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 60 Mwishowe akaacha tabenakulo ya Shilo,+

      Hema kwenye alikaa kati ya wanadamu.+

  • Yeremia 7:12
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 “‘Hata hivyo, sasa muende mahali pangu katika Shilo,+ kwenye pale mwanzo nilifanya jina langu likae,+ na muone kile nilipafanyia kwa sababu ya ubaya wa watu wangu Israeli.+

  • Matendo 7:44, 45
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 44 “Mababu zetu walikuwa na hema ya ushahidi katika jangwa, kama vile Yeye alitoa maagizo wakati alikuwa anasema na Musa ili kulifanya kulingana na mufano wenye alikuwa ameona.+ 45 Na mababu zetu walilipokea kuwa uriti na wakalileta pamoja na Yoshua katika inchi yenye ilikuwa mali ya mataifa,+ yenye Mungu alifukuza kutoka mbele ya mababu zetu.+ Lilibakia hapa mupaka siku za Daudi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine