Mambo ya Walawi 27:29 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 29 Tena, kila mutu mwenye amehukumiwa na kuwekwa pembeni ili aharibiwe hawezi kukombolewa.+ Anapaswa kabisa kuuawa.+ 1 Samweli 15:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Sasa uende, na upige na kuua Waamaleki+ na kuwaharibu+ wao pamoja na vitu vyote vyenye wako navyo. Usikose kuwaharibu;* unapaswa kuwaua wote,+ wanaume na wanamuke, mutoto na mutoto mwenye kunyonya, ngombe-dume na kondoo, ngamia na punda.’”+
29 Tena, kila mutu mwenye amehukumiwa na kuwekwa pembeni ili aharibiwe hawezi kukombolewa.+ Anapaswa kabisa kuuawa.+
3 Sasa uende, na upige na kuua Waamaleki+ na kuwaharibu+ wao pamoja na vitu vyote vyenye wako navyo. Usikose kuwaharibu;* unapaswa kuwaua wote,+ wanaume na wanamuke, mutoto na mutoto mwenye kunyonya, ngombe-dume na kondoo, ngamia na punda.’”+