22 Sasa Eli alikuwa amezeeka sana, lakini alikuwa amesikia mambo yote yenye wana wake walikuwa wanatendea+ Israeli wote na namna walikuwa wanalala na wanamuke wenye walitumika kwenye muingilio wa hema ya mukutano.+
17 Kwa hiyo mutu huyo mwenye alileta habari akaeleza: “Israeli wamekimbia Wafilisti, na watu wameshindwa mubaya sana;+ pia, wana wako wawili, Hofni na Finehasi, wamekufa,+ na Sanduku la Mungu wa kweli limekamatwa.”+