14 Sasa Yehova akamuambia Musa: “Andika mambo haya katika kitabu ili yakumbukwe na uyaseme tena kwa Yoshua: ‘Nitafuta kabisa Amaleki chini ya mbingu, naye hatakumbukwa tena.’”+
19 Wakati Yehova Mungu wako atakuwa amekupatia pumuziko kutokana na maadui wako wote wenye kukuzunguka katika inchi yenye Yehova Mungu wako anakupatia kuwa uriti ili uikamate,+ unapaswa kufuta jina la Amaleki chini ya mbingu.+ Haupaswe kusahau.
3 Sasa uende, na upige na kuua Waamaleki+ na kuwaharibu+ wao pamoja na vitu vyote vyenye wako navyo. Usikose kuwaharibu;* unapaswa kuwaua wote,+ wanaume na wanamuke, mutoto na mutoto mwenye kunyonya, ngombe-dume na kondoo, ngamia na punda.’”+