Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 Nafaka yoyote yenye inabakia ya toleo la nafaka itakuwa ya Haruni na wana wake,+ ni kitu kitakatifu sana+ kutoka katika matoleo ya Yehova yenye yanatolewa kwa njia ya moto.

  • Mambo ya Walawi 6:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Haruni na wana wake watakula unga wenye utabakia.+ Unga huo utatengenezwa kuwa mikate yenye haina chachu na itakuliwa katika mahali patakatifu. Wataikula katika kiwanja cha hema ya mukutano.+

  • Mambo ya Walawi 10:14
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 14 Pia, mutakula kifua cha toleo la kutikiswa na muguu wa fungu takatifu+ mukiwa mahali safi, wewe na watoto wako wanaume na watoto wako wanamuke,+ kwa sababu vitu hivyo vimetolewa ili kuwa posho lako na posho la wana wako kutoka katikati ya zabihu za ushirika za Waisraeli.

  • Hesabu 5:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 “‘Kila muchango mutakatifu+ kutoka kwa Waisraeli wenye unaletwa kwa kuhani utakuwa wake.+

  • Hesabu 18:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Hivi vitakuwa vitu vyenu kutoka katikati ya matoleo yote matakatifu sana yenye yanatolewa kwa njia ya moto: kila toleo lenye wanatoa, kutia ndani matoleo yao ya nafaka+ na matoleo yao ya zambi+ na matoleo yao ya hatia+ yenye wananiletea. Ni vitu vitakatifu sana kwa ajili yako na kwa ajili ya wana wako.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine