Zaburi 18:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Yehova ananipatia zawabu kulingana na haki yangu;+Ananilipa kulingana na kukosa kuwa na hatia kwa* mikono yangu.+ Zaburi 91:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Mungu alisema: “Kwa sababu ananipenda,* nitamuokoa.+ Nitamulinda kwa sababu anajua* jina langu.+
20 Yehova ananipatia zawabu kulingana na haki yangu;+Ananilipa kulingana na kukosa kuwa na hatia kwa* mikono yangu.+