-
1 Samweli 24:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Na angalia, baba yangu, ndiyo, ona upindo wa koti yako yenye haina mikono katika mukono wangu; kwa sababu wakati nilikata upindo wa koti lako lenye halina mikono, sikukuua. Sasa unaweza kuona na kuelewa kwamba sikusudie kukufanya mubaya wala kukuasi, na sijakutendea zambi,+ lakini wewe unaniwinda ili uondoe uzima wangu.*+
-
-
Zaburi 24:3, 4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Ni nani anaweza kupanda mulima wa Yehova,+
Na ni nani anaweza kusimama mahali pake patakatifu?
-