Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Na angalia, baba yangu, ndiyo, ona upindo wa koti yako yenye haina mikono katika mukono wangu; kwa sababu wakati nilikata upindo wa koti lako lenye halina mikono, sikukuua. Sasa unaweza kuona na kuelewa kwamba sikusudie kukufanya mubaya wala kukuasi, na sijakutendea zambi,+ lakini wewe unaniwinda ili uondoe uzima wangu.*+

  • 2 Samweli 22:21-25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 21 Yehova ananipatia zawabu kulingana na haki yangu;+

      Ananilipa kulingana na kutokuwa na hatia kwa* mikono yangu.+

      22 Kwa maana nimeshika njia za Yehova,

      Na sijamuacha kwa uovu Mungu wangu.

      23 Hukumu zake zote+ ziko mbele yangu;

      Sitageuka pembeni kuacha sheria zake.+

      24 Nitabakia bila lawama+ mbele yake,

      Na nitajiepusha na kosa.+

      25 Yehova anilipe kulingana na haki yangu,+

      Kulingana na kutokuwa kwangu na hatia mbele yake.+

  • Zaburi 24:3, 4
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  3 Ni nani anaweza kupanda mulima wa Yehova,+

      Na ni nani anaweza kusimama mahali pake patakatifu?

       4 Mutu yeyote mwenye mikono yenye haina kosa na mwenye moyo safi,+

      Mwenye hajaapa kiapo cha uongo kwa uzima Wangu,*

      Wala kuapa kwa udanganyifu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine