-
1 Samweli 2:30Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
30 “‘Ndiyo sababu Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: “Kwa kweli nilisema kwamba nyumba yako na nyumba ya babu yako itatembea mbele yangu sikuzote.”+ Lakini sasa Yehova anasema: “Ni jambo lenye siwezi kuwazia, kwa sababu wale wenye kuniheshimia nitawaheshimia,+ lakini wale wenye kunizarau watazarauliwa.”
-