Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 16:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 Lakini Yehova akamuambia Samweli: “Usiangalie sura yake wala urefu wake,+ kwa sababu nimemukataa. Kwa maana Mungu haone kama vile mwanadamu anaona, kwa sababu mwanadamu bure anaona kile chenye kinaonekana kwa macho, lakini Yehova anaona ndani ya moyo.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 “Na wewe, Sulemani mwana wangu, umujue Mungu wa baba yako na umutumikie kwa moyo kamili*+ na kwa nafsi* yenye furaha,* kwa maana Yehova anachunguza mioyo yote,+ na anatambua kila muelekeo wa fikira.+ Kama unamutafuta, atajiacha umupate,+ lakini kama unamuacha, atakukataa milele.+

  • Yeremia 11:20
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa haki;

      Anachunguza mawazo ya ndani kabisa* na moyo.+

      Acha nione kisasi chako juu yao,

      Kwa maana nimeleta kesi yangu ya hukumu kwako.

  • Yeremia 17:10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 10 Mimi, Yehova, ninachunguza moyo,+

      Ninachunguza mawazo ya ndani kabisa,*

      Ili kumupatia kila mumoja kulingana na njia zake,

      Kulingana na matunda ya matendo yake.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine