Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 18:5
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 5 “‘Wazia kama mutu ni mwenye haki na anatenda mambo ya haki na yenye kuwa sawa.

  • Ezekieli 18:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 7 hamutendee mubaya mutu yeyote,+ lakini anarudisha kitu chenye mwenye kuwa na deni lake aliwekesha kwa ajili ya mukopo;+ hamunyanganye mutu yeyote,+ lakini anapatia chakula chake mwenye njaa+ na anamufunika nguo mwenye kuwa uchi;+

  • Yakobo 1:27
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 27 Namna ya ibada* yenye kuwa safi na yenye haina uchafu kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuhangaikia mayatima+ na wajane+ katika taabu yao,+ na kuendelea kubakia bila doa kutokana na ulimwengu.+

  • 1 Yohana 3:17
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 17 Lakini kama mutu yeyote iko* na vitu vya ulimwengu huu na anaona ndugu yake katika uhitaji lakini anakataa kumuonyesha huruma, namna gani upendo wa Mungu unakaa ndani yake?+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine