Yobu 36:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 Kwa kweli maneno yangu hayako ya uongo;Ule Mwenye kuwa mukamilifu katika ujuzi+ iko* hapa mbele yako. Zaburi 18:30 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 30 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+Neno la Yehova ni lenye kusafishwa.+ Yeye ni ngao kwa wote wenye kumukimbilia.+ Zaburi 104:24 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 24 Kazi zako ni nyingi sana, Ee Yehova!+ Umezifanya zote kwa hekima.+ Dunia imejaa vitu vyenye umefanya.
4 Kwa kweli maneno yangu hayako ya uongo;Ule Mwenye kuwa mukamilifu katika ujuzi+ iko* hapa mbele yako.
30 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+Neno la Yehova ni lenye kusafishwa.+ Yeye ni ngao kwa wote wenye kumukimbilia.+
24 Kazi zako ni nyingi sana, Ee Yehova!+ Umezifanya zote kwa hekima.+ Dunia imejaa vitu vyenye umefanya.