-
Yoshua 7:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Wakati Wakanaani na wakaaji wote wa inchi hii watasikia habari hii, watatuzunguka na kuondoa jina letu katika dunia, na utafanya nini juu ya jina lako kubwa?”+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 14:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Kisha Asa akamuita Yehova Mungu wake+ na kusema: “Ee Yehova, haiko shida kwako ikuwe wale wenye unasaidia ni wengi ao hawana nguvu.+ Utusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana tunakutegemea* wewe,+ na katika jina lako tumekuja kupigana na watu hawa wengi.+ Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu. Usiache mwanadamu mwenye anaweza kufa akupite nguvu.”+
-