Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 7:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Wakati Wakanaani na wakaaji wote wa inchi hii watasikia habari hii, watatuzunguka na kuondoa jina letu katika dunia, na utafanya nini juu ya jina lako kubwa?”+

  • 1 Samweli 12:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Kwa ajili ya jina lake kubwa,+ Yehova hataacha watu wake,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 14:11
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 11 Kisha Asa akamuita Yehova Mungu wake+ na kusema: “Ee Yehova, haiko shida kwako ikuwe wale wenye unasaidia ni wengi ao hawana nguvu.+ Utusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana tunakutegemea* wewe,+ na katika jina lako tumekuja kupigana na watu hawa wengi.+ Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu. Usiache mwanadamu mwenye anaweza kufa akupite nguvu.”+

  • Zaburi 115:1, 2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 115 Usitupatie sisi, Ee Yehova, usitupatie sisi,*

      Lakini wewe upatie jina lako utukufu+

      Kwa sababu ya upendo wako mushikamanifu na uaminifu wako.+

       2 Sababu gani mataifa yaseme:

      “Mungu wao iko* wapi?”+

  • Isaya 48:9
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  9 Lakini kwa sababu ya jina langu nitazuia kasirani yangu;+

      Kwa ajili ya sifa yangu mwenyewe nitajizuia kukuelekea,

      Na sitakuharibu.+

  • Yeremia 14:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Hata kama makosa yetu wenyewe yanashuhudia juu yetu,

      Ee Yehova, tenda kwa ajili ya jina lako.+

      Kwa maana matendo yetu ya kukosa uaminifu ni mengi,+

      Na ni wewe ndiye tumetendea zambi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine