12 Wakati siku zako zitafikia mwisho+ na ulale pamoja na mababu zako, basi nitainua uzao wako kisha wewe, mwana wako mwenyewe, na nitafanya ufalme wake ukuwe imara kabisa.+ 13 Yeye ndiye atajenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ na nitafanya imara kabisa kiti cha ufalme wake milele.+