37 Kama vile Yehova alikuwa pamoja na bwana wangu mufalme, basi akuwe pia pamoja na Sulemani,+ na Yeye afanye kiti chake cha ufalme kikuwe kikubwa zaidi kuliko kiti cha ufalme cha bwana wangu Mufalme Daudi.”+
10 Yeye ndiye atajenga nyumba kwa ajili ya jina langu.+ Atakuwa mwana wangu, na mimi nitakuwa baba yake.+ Nitafanya imara kabisa kiti cha ufalme wake juu ya Israeli milele.’+