Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:7
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ inarudisha nguvu.*+

      Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ kinamufanya mwenye hana uzoefu akuwe na hekima.+

  • Zaburi 40:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    •  8 Ee Mungu wangu, ninafurahia* kufanya mapenzi yako,+

      Na sheria yako iko ndani yangu kabisa.+

  • Zaburi 112:1
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 112 Mumusifu Yah!*+

      א [Aleph]

      Mwenye furaha ni mutu mwenye anamuogopa Yehova,+

      ב [Beth]

      Mwenye anapendezwa sana na amri zake.+

  • Matayo 5:3
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 3 “Wenye furaha ni wale wenye wanatambua uhitaji wao wa kiroho,*+ kwa sababu Ufalme wa mbinguni ni wao.

  • Waroma 7:22
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 22 Kwa kweli ninapenda sheria ya Mungu kulingana na mutu mwenye niko kwa ndani,+

  • Yakobo 1:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Lakini ule mwenye anaangalia katika sheria kamilifu+ ya uhuru na anaendelea kuwa katika hiyo, amekuwa, hapana musikiaji musahaulifu, lakini mutendaji wa kazi; na atafurahia kile chenye anafanya.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine