Zaburi 19:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ inarudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ kinamufanya mwenye hana uzoefu akuwe na hekima.+ Zaburi 40:8 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Ee Mungu wangu, ninafurahia* kufanya mapenzi yako,+Na sheria yako iko ndani yangu kabisa.+ Zaburi 112:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 112 Mumusifu Yah!*+ א [Aleph] Mwenye furaha ni mutu mwenye anamuogopa Yehova,+ב [Beth]Mwenye anapendezwa sana na amri zake.+ Matayo 5:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 “Wenye furaha ni wale wenye wanatambua uhitaji wao wa kiroho,*+ kwa sababu Ufalme wa mbinguni ni wao. Waroma 7:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Kwa kweli ninapenda sheria ya Mungu kulingana na mutu mwenye niko kwa ndani,+ Yakobo 1:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Lakini ule mwenye anaangalia katika sheria kamilifu+ ya uhuru na anaendelea kuwa katika hiyo, amekuwa, hapana musikiaji musahaulifu, lakini mutendaji wa kazi; na atafurahia kile chenye anafanya.+
7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ inarudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ kinamufanya mwenye hana uzoefu akuwe na hekima.+
112 Mumusifu Yah!*+ א [Aleph] Mwenye furaha ni mutu mwenye anamuogopa Yehova,+ב [Beth]Mwenye anapendezwa sana na amri zake.+
3 “Wenye furaha ni wale wenye wanatambua uhitaji wao wa kiroho,*+ kwa sababu Ufalme wa mbinguni ni wao.
25 Lakini ule mwenye anaangalia katika sheria kamilifu+ ya uhuru na anaendelea kuwa katika hiyo, amekuwa, hapana musikiaji musahaulifu, lakini mutendaji wa kazi; na atafurahia kile chenye anafanya.+