Zaburi 37:28 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Na hataacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataharibiwa.+ Zaburi 145:20 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 20 Yehova analinda wale wote wenye kumupenda,+Lakini ataharibu waovu wote.+
28 Kwa maana Yehova anapenda haki,Na hataacha washikamanifu wake.+ ע [Ayin] Watalindwa sikuzote;+Lakini wazao wa waovu wataharibiwa.+