Zaburi 31:23 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 23 Mumupende Yehova, ninyi wote wenye kuwa washikamanifu kwake!+ Yehova analinda waaminifu,+Lakini anamulipa malipo mengi sana mutu yeyote mwenye kuonyesha kiburi.+ Zaburi 97:10 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 Enyi wenye kumupenda Yehova, muchukie mambo ya mubaya.+ Analinda uzima wa* washikamanifu wake;+Anawaokoa katika mukono wa* waovu.+
23 Mumupende Yehova, ninyi wote wenye kuwa washikamanifu kwake!+ Yehova analinda waaminifu,+Lakini anamulipa malipo mengi sana mutu yeyote mwenye kuonyesha kiburi.+
10 Enyi wenye kumupenda Yehova, muchukie mambo ya mubaya.+ Analinda uzima wa* washikamanifu wake;+Anawaokoa katika mukono wa* waovu.+