-
Kutoka 34:6, 7Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ hakasirike haraka+ na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu*+ na kweli,*+ 7 mwenye kuonyesha upendo mushikamanifu kwa maelfu,+ mwenye kusamehe kosa na uovu na zambi,+ lakini hatakosa hata kidogo kupatia azabu wenye kosa,+ mwenye kuleta azabu juu ya wana na wajukuu kwa sababu ya kosa la baba zao, juu ya kizazi cha tatu (3) na juu ya kizazi cha ine (4).”+
-
-
Kumbukumbu la Torati 7:9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Unajua muzuri kwamba Yehova Mungu wako ndiye Mungu wa kweli, Mungu muaminifu, mwenye kushika agano lake na upendo mushikamanifu kufikia vizazi elfu (1 000) vya wale wenye kumupenda na kushika amri zake.+
-