Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ hakasirike haraka+ na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu*+ na kweli,*+

  • Yoeli 2:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Mupasue mioyo yenu,+ hapana nguo zenu,+

      Na mumurudilie Yehova Mungu wenu,

      Kwa maana yeye ni mwenye huruma* na rehema, hakasirike haraka+ na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu,+

      Na atabadilisha nia yake* na hataleta musiba.

  • Yona 4:2
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 2 Kwa hiyo akasali hivi kwa Yehova: “Aa, sasa, Yehova, je, haiko vile nilikuwa ninafikiri wakati nilikuwa katika inchi yangu mwenyewe? Ndiyo sababu nilijaribu kwanza kukimbilia Tarshishi;+ kwa sababu nilijua kama wewe ni Mungu mwenye huruma* na rehema, mwenye hakasirike haraka na mwenye upendo mwingi mushikamanifu,+ mwenye kusikitika juu ya musiba.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine