Ezra 9:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Na kisha mambo yote yenye yametupata kwa sababu ya matendo yetu ya mubaya na hatia yetu kubwa—kwa maana wewe, Ee Mungu wetu, haujatutendea kulingana na kosa letu,+ na umeturuhusu sisi wenye kuwa hapa tuponyoke+— Zaburi 130:3 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 3 Kama ungekuwa unaangalia* makosa, Ee Yah,*Basi ni nani, Ee Yehova, angeweza kusimama?+ Isaya 55:7 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 7 Mutu muovu aache njia yake+Na mutu mubaya mawazo yake;Na amurudilie Yehova, mwenye atamuonyesha rehema,+Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+
13 Na kisha mambo yote yenye yametupata kwa sababu ya matendo yetu ya mubaya na hatia yetu kubwa—kwa maana wewe, Ee Mungu wetu, haujatutendea kulingana na kosa letu,+ na umeturuhusu sisi wenye kuwa hapa tuponyoke+—
7 Mutu muovu aache njia yake+Na mutu mubaya mawazo yake;Na amurudilie Yehova, mwenye atamuonyesha rehema,+Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+