Ezekieli 18:21 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 21 “‘Sasa kama mutu muovu anageuka na kuacha zambi zote zenye amefanya na anashika sheria zangu na kutenda haki na uadilifu,* hakika ataendelea kuishi. Hatakufa.+ Matendo 3:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 “Kwa hiyo, mutubu+ na mugeuke+ ili zambi zenu zipate kufutwa,+ ili vipindi vya kutuliza vikuje kutoka kwa Yehova mwenyewe*
21 “‘Sasa kama mutu muovu anageuka na kuacha zambi zote zenye amefanya na anashika sheria zangu na kutenda haki na uadilifu,* hakika ataendelea kuishi. Hatakufa.+
19 “Kwa hiyo, mutubu+ na mugeuke+ ili zambi zenu zipate kufutwa,+ ili vipindi vya kutuliza vikuje kutoka kwa Yehova mwenyewe*