Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 ‘Yehova, hakasirike haraka na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu,*+ mwenye kusamehe kosa na uovu, lakini hatakosa hata kidogo kupatia azabu wenye kosa, mwenye kuleta azabu juu ya wana kwa sababu ya kosa la baba zao, juu ya kizazi cha tatu (3) na juu ya kizazi cha ine (4).’+

  • Zaburi 103:12, 13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 12 Kama vile mahali jua linatokea kuko mbali sana na mahali jua linashukia,

      Ni vile ametia zambi zetu mbali sana na sisi.+

      13 Kama vile baba anaonyesha wana wake rehema,

      Ni vile Yehova ameonyesha rehema wale wenye kumuogopa.+

  • Isaya 43:25
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 25 Mimi, mimi Ndiye ninafuta makosa yako*+ kwa ajili yangu mwenyewe,+

      Na sitakumbuka zambi zako.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine