-
2 Samweli 22:2-4Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Akasema:
“Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu+ na Ule mwenye ananiokoa.+
3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ mwenye ninakimbilia,
Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+
Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe mwenye unaniokoa katika jeuri.
4 Ninamuitia Yehova, mwenye anastahili kusifiwa,
Na nitaokolewa kutoka kwa maadui wangu.
-