Zaburi 37:25 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 25 Nilikuwa kijana na sasa nimezeeka,Lakini sijamuona mutu yeyote mwenye haki akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mukate.*+ Matayo 6:33 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 33 “Basi, muendelee kutafuta kwanza Ufalme na haki yake, na mutaongezewa vitu hivyo vingine vyote.+
25 Nilikuwa kijana na sasa nimezeeka,Lakini sijamuona mutu yeyote mwenye haki akiwa ameachwa,+Wala watoto wake wakitafuta mukate.*+