-
Yoshua 2:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Akawaambia: “Ninajua kwamba Yehova atawapatia inchi hii+ na tumeogopa kwa sababu yenu.+ Wakaaji wote wa inchi wamevunjika moyo kwa sababu yenu,+ 10 kwa maana tulisikia namna Yehova alikausha maji ya Bahari Nyekundu mbele yenu wakati mulitoka Misri+ na mambo yenye mulitendea wale wafalme wawili wa Waamori, Sihoni+ na Ogu,+ wenye muliharibu kabisa ngambo ingine ya* Yordani.
-
-
Nehemia 6:15, 16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
15 Kwa hiyo ukuta ukamalizika kujengwa siku ya makumi mbili na tano (25) ya mwezi wa Eluli,* kwa siku makumi tano na mbili (52).
16 Wakati tu maadui wetu walisikia habari hii na wakati mataifa yote yenye kutuzunguka yaliona jambo hilo, wakasikia haya sana,*+ na wakatambua kwamba kazi hii ilimalizika kwa musaada wa Mungu wetu.
-